Sasa hivi KKKT wamekuja na new system ya watu kama hao nimewahi kuhudhuria msiba huo nyimbo kama kawa ila huzikwi karibu na makaburi mengine ya familia wimbo na maombi tofauti na zamani ilikua marufuku kuimba hata wimbo
Mfanyabiashara maarufu mjini Moshi leo asubuhi amejiua kwa kujipiga risasi.Mfanyabiashara huyo ajulikanae kwa jina AGUSTIN MALYA (kipumbu)amejiua na sababu za kifo chake bado hazijajulikana.