Serikali yenyewe haina ubunifu wa kutafuta vyanzo vipya vya kodi! Na kwa ujinga wao wa kunyima wapinzani haki ya kuingia bungeni, ndiyo basi tena. Watakosa zile taarifa muhimu kutoka jambi ya upinzani, za kuvumbua vyanzo vipya vya mapato!
Wataendelea tu kutupandishia kodi kwenye vifurushi, miamala, bia, soda, sigara, nk. Ubunifu kwao ni zero.