nakumbuka yule aliepita alipoingia madarakakni walisema yeye ndio chaguo la MUNGU, haya ni zaidi ya mahabaKeshakuwa 'Mfalme Daudi'?
eeeh?
Mkuu wasamehe hawajielewi.Ni watu wa kuonea huruma.Wanasahau Daudi alivyopita Na mke wa askari.siku sio nyingi mtanza kusema ni Mungu
Watasubiri sana Daudi wao ampige goliati haitatokea Daudi huyu amebaki kubweka kama mbwa nje ya nyumba ya Goliati akijua Goliati anafungua mlango lazima aondoke aje na agenda nyingine.waTZ, sindiyo anaanza hatua moja baada ya ingine.. ni lazima auondoe uchafu na vipingamizi njiani ili aweze kutufikisha huko mbele!!!
TumainiEl ndiyo kiongozi mwenye kufuata nyao za Daud ... God bless JPM!!!
Nanukuu: nyerere aliwahi kusema katiba ya nchiii hii ukiitumia tofauti unaweza ukajiita mungu kama sijakosea sasa naona mwisho wa siku itakuwa hivoMfalme Daud ni moja ya wafalme wali itawala israel nakutokana na uadilifu wake na mapenz yake kwa Mungu, Mungu alipitia uzao wake kumpata nabii Isa au kwa wakriso wanamuita Yesu.
Mfalme Daud kabla yakuwa mfalme alikuwa mchunga mbuzi na köndoo wa baba yake Yese, pia alikuwa mpiga kinubi mzuri sana.
Mfalme huyu kabla yakuwa mfalme alipita nyakati nzito sana kiasi ukisoma Histor yake unasisimka mwili. Wakati ule palikuwa na watu wali itwa wafilisti na katikati yao alikuwa jemedari wao alie itwa Goliati. Alikuwa pande la mtu jitu kubwa lililo shinda vita moja hadi nyingine.
Kipindi kile taifa hilo chini ya mfalme Saul, Goliati alitaka mtu wakupigana naye na ikiwa atamshinda basi Israel watatawaliwa na wafilist na ikiwa atashindwa bas wafilisti watakuwa watumwa wa Israel. Israel na wafilisti walipiga kambi kwa muda mrefu wakitafuta mtu wakupigana na Goliati.
Siku moja Daud akatumwa kuwapelekea chakula kaka zake vitani na huko ndipo miujiza ilianza. Kufupisha Daud alipokuwa akienda kwenye uwanja wa vita alitaka apewe nafasi kupigana na Goliati. Habari hizi zilimfikia Mfalme pamoja na masimango na vitisho alipewa Daud alidhamiria kupigana na Goliati.
Siku ile Daud alikataa mavaz yakijeshi akachukua kombeo lake kupigana na Goliati. Goliati alipo muona alimdharau sana Daud. Ila Daud akasema atampiga nakumkata kichwa kwa jina La Mungu wake alie watukana majesh ya Israel. Kwa hakika Goliati aliuwawa na kijana mdogo sana na dunia wakati ule ikawa ni story kubwa sana.
Tanzania pia ktk hali ya upendo mkubwa wa Mungu taifa hili tumempata Daud mwenye aina ya maisha na mienendo inayo fanana na DAUD. Mh Dk Magufuli amekuwa na mikakati na misimamo yakupigana na goliati aka mafisadi kwa gharama yeyote na hao magoliati wamekuwa na mtazamo wa goliat yule wa wafilisti eti watamshinda wakisahau yeye ana Mungu na Mungu hajawah shindwa popote pale nia ya huyu Rais ndio nia ya Mungu wetu kwa taifa hili teule kufupisha ni kwamba Daud wetu wa Tz ambaye ndie Rais lazima atawashinda na ufisadi utakuwa histor ktk taifa hili. Tanzania imempata mfalme Daud na sina shaka mfalme wetu atashinda chini ya mkono wa Mungu tunaye muomba kila siku.
Mungu ibariki Tanzania na Rais wetu.
Aah! wacha tu muungwana hata mwaka haja maliza hivyo.Keshakuwa 'Mfalme Daudi'?
eeeh?
Na ndio mwelekeo.Nanukuu: nyerere aliwahi kusema katiba ya nchiii hii ukiitumia tofauti unaweza ukajiita mungu kama sijakosea sasa naona mwisho wa siku itakuwa hivo
Kama mafisadi walishindwa kuingia Ikulu basi watarajie kugeuka mashetani