Mfalme Berishaza Alilewa Madaraka Mpaka Akamkosea Mungu

muafi

JF-Expert Member
Oct 6, 2015
2,113
4,793
Mfalme berishaza maandiko yanasimulia,alilewa madaraka akamkosea Mungu..
Alipopata ufalme alichanganyikiwa na cheo chake mpaka akathubutu kutumia vikombe vya hekalu..!

alishangaa kuona mkono unaandika ukutani na anayeandika alikua haonekani maneno yaliyotokea ukutani ni haya, "MENEMENE TEKELI NA PELESI" maana yake 'ufalme wako umepimwa kwa mizani nao umeonekana umepungukiwa, ufalme wako umesababisha matabaka umegawanya Wamedi na Wajemi"

Bershaza alizani amefika akaanza kudharau watu wake kumbe hakujua safari bado'
mfalme alizani amefika mpaka hakumuogopa Mungu,
nakusihi Mfalme Safari Bado usijifungue mtoto wa kwanza ukaanza kutukana wakunga''
 
Safi. Ujumbe umefika mkuu. Wao wameajiriwa na hawataki kutoka madarakani na walivyo waroho WALIKUNYWA MPAKA KIKOMBE CHA BABU WA LOLIONDO lkn leo hii kacimamisha ajira. Hajui km hizo ajira zingeokoa maisha ya watu na kupunguza umaskini

HAKUNA SERIKALI YYTE DUNIAN AMBAYO INAAJIRI WATU WOTE NA PIA HAKUNA SERIKALI YYTE AMBAYO HAIAJIRI WATU WAKE.
AKILI KUMKICHWA
 
Mfalme berishaza maandiko yanasimulia,alijewa madaraka akamkosea Mungu..
Alipopata ufalme alichanganyikiwa na cheo chake mpaka akathubutu kutumia vikombe vya hekalu..!

alishangaa kuona mkono unaandika ukutani na anayeandika alikua haonekani maneno yaliyotokea ukutani ni haya, "MBENENEDE KSHEKELI NAPELEZI" maana yake 'ufalme wako umepimwa kwa mizani nao umeonekana umepungukiwa, ufalme wako umesababisha matabaka umegawanya Wamedi na Wajemi"

Bershaza alizani amefika akaanza kudharau matu wake kumbe hakujua safari bado'
mfalme alizani amefika mpaka hakumuogopa Mungu,
nakusihi Mfalme Safari Bado usijifungue mtoto wa kwanza ukaanza kutukana wakunga''
Mungu na akawafanye wale manyasi kama belshaza alivyofanywa. kiburi cha mwanadamu hushushwa na Mungu hadi chini kabisa kuzimu. kuna siku Mungu atasikia kilio cha watu wake. na kushushwa huko kunaweza tokea 2020.
 
Mfalme berishaza maandiko yanasimulia,alijewa madaraka akamkosea Mungu..
Alipopata ufalme alichanganyikiwa na cheo chake mpaka akathubutu kutumia vikombe vya hekalu..!

alishangaa kuona mkono unaandika ukutani na anayeandika alikua haonekani maneno yaliyotokea ukutani ni haya, "MBENENEDE KSHEKELI NAPELEZI" maana yake 'ufalme wako umepimwa kwa mizani nao umeonekana umepungukiwa, ufalme wako umesababisha matabaka umegawanya Wamedi na Wajemi"

Bershaza alizani amefika akaanza kudharau matu wake kumbe hakujua safari bado'
mfalme alizani amefika mpaka hakumuogopa Mungu,
nakusihi Mfalme Safari Bado usijifungue mtoto wa kwanza ukaanza kutukana wakunga''
Naona ndoto znaendelea kuishi ,kumbe haziishii kisongo tu eeeh
 
Mfalme berishaza maandiko yanasimulia,alilewa madaraka akamkosea Mungu..
Alipopata ufalme alichanganyikiwa na cheo chake mpaka akathubutu kutumia vikombe vya hekalu..!

alishangaa kuona mkono unaandika ukutani na anayeandika alikua haonekani maneno yaliyotokea ukutani ni haya, "MENEMENE TEKELI NA PELESI" maana yake 'ufalme wako umepimwa kwa mizani nao umeonekana umepungukiwa, ufalme wako umesababisha matabaka umegawanya Wamedi na Wajemi"

Bershaza alizani amefika akaanza kudharau watu wake kumbe hakujua safari bado'
mfalme alizani amefika mpaka hakumuogopa Mungu,
nakusihi Mfalme Safari Bado usijifungue mtoto wa kwanza ukaanza kutukana wakunga''
vitabu vya dini vinasemaje kuhusu wale wanaojimbilikizia mali na wezi ?
 
Nimeipenda hii sana tuuuu!!! Lema amesoma sana bible.....na Mungu atakuwa nae daima!! Alishaoneshwa kwenye maono!!! Mene Mene Tekeli na Pelesi......
 
Mungu na akawafanye wale manyasi kama belshaza alivyofanywa. kiburi cha mwanadamu hushushwa na Mungu hadi chini kabisa kuzimu. kuna siku Mungu atasikia kilio cha watu wake. na kushushwa huko kunaweza tokea 2020.
Mungu ni mwamuzi mwenye haki halazimishwi kutenda chochote eti kwa sababu tuu wengi wanakililia bali Mungu hujibu dua, kilio na maombi ya wenye haki.
 
Safi. Ujumbe umefika mkuu. Wao wameajiriwa na hawataki kutoka madarakani na walivyo waroho WALIKUNYWA MPAKA KIKOMBE CHA BABU WA LOLIONDO lkn leo hii kacimamisha ajira. Hajui km hizo ajira zingeokoa maisha ya watu na kupunguza umaskini

HAKUNA SERIKALI YYTE DUNIAN AMBAYO INAAJIRI WATU WOTE NA PIA HAKUNA SERIKALI YYTE AMBAYO HAIAJIRI WATU WAKE.
AKILI KUMKICHWA
Kama ulijua mkuu
 
Mwenye Enzi Mungu na aanze na wewe!
TOA KWANZA BORITI KWENYE JICHO LAKO NDIYO UTAONA KIBANZI KWENYE JICHO LA MWENZAKO!
 
Back
Top Bottom