Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,474
- 45,776
Wanabisha kwa sababu sio hobby yao wanyamaNaam lakini kuna raia wanagoma kabisaa ha ha
Kuna kila maajabu katika viumbe na huyu yumo
Wanabisha kwa sababu sio hobby yao wanyamaNaam lakini kuna raia wanagoma kabisaa ha ha
Ha ha shukrani sana mkuu ila inabdi ukipewa info mtu haamini adig deep.. wanyama wanakila maajabu..Wanabisha kwa sababu sio hobby yao wanyama
Kuna kila maajabu katika viumbe na huyu yumo
Ha ha ha itakubidi uingie deep kidogo..Mwambie huyo
Ha ha tembelea source unazozikubali utaongeza maarifa ya huyu mnyama..Yaani hi haikubaliki! Ngumu kumesa!! Yaani mm nizae!? Abadan asilan
Mkuu tatizo lugha na wengi ni fb na insta fanHa ha shukrani sana mkuu ila inabdi ukipewa info mtu haamini adig deep.. wanyama wanakila maajabu..
Asili ni ya Mungu. Mungu alisema mwanamke atazaa kwa uchungu. Hii haijawai badilika iwe binadamu, wanyama au aliens.ha ha sawa mkuu ila nature ya binadamu sio nature ya wanyama
Sasa umetambua Kumbe kuzaa ni kazi kubwa sana!!Yaani hi haikubaliki! Ngumu kumesa!! Yaani mm nizae!? Abadan asilan
Aaah ngoja niamini tu kwa imaniHa ha ha ndio hvyo mkuu anazaaa
Mkuu nimekuelewa sanaAsili ni ya Mungu. Mungu alisema mwanamke atazaa kwa uchungu. Hii haijawai badilika iwe binadamu, wanyama au aliens.
Sasa muda wa kuzaa dume huwa na pochi kwenye tumbo na jike huhamishia mayai kwa dume yakiwa bado kabisaa na yakishaingia kwa dume huboreshwa na hukaa kwa siku 14 mpaka wiki 4 ambapo hutoa watoto mpaka 150