Thewildlife_tz
Senior Member
- Apr 23, 2019
- 127
- 85
- Thread starter
- #41
Duuuuhh .. hii kali ila ninafahamu kwamba kuna dini wanasema kunguru ndio alitambulisha kuzika na siku za kuomboleza..
Ushuhuda:
Kunguru walikiwa na mchezo wa kuingia banda la nguruwe na kudokoa vile piglets na kula utumbo wa uzazi kama nguruwe kazaa na vijana hawajasafisha.
Kuna siku tukawabananisha tukaua mmoja kisha tukamninginiza kwenye mlango...
Kunguru wote hawakufika tena, tukasema dawa tumepata
Aisee siku ya 40 walitokea kunguru kwa maelfu; walizunguka pale kama saa nzima huku wakipiga kelele, nilishangaa sana kwa nini
Baada ya huo muda wakaondoka; hadi leo sijaona kunguru tena mabandani.