Mfahamu kunguru ndege anayeongea

Mfahamu kunguru ndege anayeongea

Nimeiona mkuu ahsantee

Ila sidhani kama uwezo wake umempita kasuku kwa kukariri labda tuseme kwenye uwiano wa sauti yake unashabihiana kwa nyingi kidogo na binadamu kuliko wa kasuku
Kuna chuo kimoja walifanya huu utafiti wakagundua na huyu anaiga mpaka sauti ya injini , anakohoa , na anaiga mpka sauti ya wanyama kama mbwa.. wanasema anauwezo kama ule dolphin na sokwe.. na ndio mana huyu kiumbe ni msumbufu sanaa
 
Kuna chuo kimoja walifanya huu utafiti wakagundua na huyu anaiga mpaka sauti ya injini , anakohoa , na anaiga mpka sauti ya wanyama kama mbwa.. wanasema anauwezo kama ule dolphin na sokwe.. na ndio mana huyu kiumbe ni msumbufu sanaa
Mimi ni mhanga wa hawa viumbe nawajua fika lakini ni Aina ile nyengine ndogo wale weusi wasio na baka wa dar

Nakumbuka nikiwa mdogo nikiwa sijui ni nini kimetangulia kutokea katika njia niliyokuwa napita nilishtushwa na makofi ya hawa viumbe

Kumbe kuna watoto watundu waliangua viota vyao na kuua makinda yao..! viumbe wakachuki..hasira zao wakawa wanamalizia kwa wapita njia hasa watoto

Ajabu walikuwa wanabagua akipita mkubwa hawana neno nae ila apite mtoto wanakuja Kama wote wanakupiga na mbawa zao_salama yako ilikuwa uvizie mkubwa anapita na wewe ndio upite_kwa ufupi siku hiyo walifunga mtaa

Ila sijawahi sahau ile minyuko ya mbawa zao ni hatari sana
 
Mimi ni mhanga wa hawa viumbe nawajua fika lakini ni Aina ile nyengine ndogo wale weusi wasio na baka wa dar

Nakumbuka nikiwa mdogo nikiwa sijui ni nini kimetangulia kutokea katika njia niliyokuwa napita nilishtushwa na makofi ya hawa viumbe

Kumbe kuna watoto watundu waliangua viota vyao na kuua makinda yao..! viumbe wakachuki..hasira zao wakawa wanamalizia kwa wapita njia hasa watoto

Ajabu walikuwa wanabagua akipita mkubwa hawana neno nae ila apite mtoto wanakuja Kama wote wanakupiga na mbawa zao_salama yako ilikuwa uvizie mkubwa anapita na wewe ndio upite_kwa ufupi siku hiyo walifunga mtaa

Ila sijawahi sahau ile minyuko ya mbawa zao ni hatari sana
Ha ha daah polee sana huwa wanaakili na wanajua kwamba nani adui yao.. asante kwa kushare exprience..
 
Bisha kwa facts... mkuu.. leta details..
kasuku anakariri maneno mengi sana na siyo hiyo hi na kukohowa. Kasuku anaomgea kabisa mfano anakuambia shikamoo, mambo vipi tena kwa sauti za aina tofauti, kasuku mmoja anaweza kujiuliza kama baba akajijibu kama mama na akaongea tena kama mtoto hapohapo..... SASA HUYO KUNGURU ANAKOHOWA HAPO NA KUSEMA HI UNAKUJA KUMLINGANISHA NA KASUKU??? NIMEJARIBU KUWEKA VIDEO YA KASUKU TENA WA KITANZANIA ANAONGEA KISWAHILI NIMESHINDWA..... huwezi linganisha kunguru na kasuku hata siku moja, ni sawa na kulinganisha mbwa na simba.
 
Nenda kasome deep utaelewa. Nakupa zoezi nenda google kaulize watakupa majibu sahihi kabisa ngoja nikupatie na link.. katika ndege wenyeakili zaidi kunguru ndio anaoongoza kwa kukalili na kujua mambo na kuchanganua...
kasuku anakariri maneno mengi sana na siyo hiyo hi na kukohowa. Kasuku anaomgea kabisa mfano anakuambia shikamoo, mambo vipi tena kwa sauti za aina tofauti, kasuku mmoja anaweza kujiuliza kama baba akajijibu kama mama na akaongea tena kama mtoto hapohapo..... SASA HUYO KUNGURU ANAKOHOWA HAPO NA KUSEMA HI UNAKUJA KUMLINGANISHA NA KASUKU??? NIMEJARIBU KUWEKA VIDEO YA KASUKU TENA WA KITANZANIA ANAONGEA KISWAHILI NIMESHINDWA..... huwezi linganisha kunguru na kasuku hata siku moja, ni sawa na kulinganisha mbwa na simba.
 
Pia wana tabia ya ajabu hao mfano pale kwangu kuna njiwa bc wao huwa wanachinja makinda ya njiwa na huondoka na vichwa vyao
 
kasuku anakariri maneno mengi sana na siyo hiyo hi na kukohowa. Kasuku anaomgea kabisa mfano anakuambia shikamoo, mambo vipi tena kwa sauti za aina tofauti, kasuku mmoja anaweza kujiuliza kama baba akajijibu kama mama na akaongea tena kama mtoto hapohapo..... SASA HUYO KUNGURU ANAKOHOWA HAPO NA KUSEMA HI UNAKUJA KUMLINGANISHA NA KASUKU??? NIMEJARIBU KUWEKA VIDEO YA KASUKU TENA WA KITANZANIA ANAONGEA KISWAHILI NIMESHINDWA..... huwezi linganisha kunguru na kasuku hata siku moja, ni sawa na kulinganisha mbwa na simba.
 
Ushuhuda:
Kunguru walikiwa na mchezo wa kuingia banda la nguruwe na kudokoa vile piglets na kula utumbo wa uzazi kama nguruwe kazaa na vijana hawajasafisha.

Kuna siku tukawabananisha tukaua mmoja kisha tukamninginiza kwenye mlango...

Kunguru wote hawakufika tena, tukasema dawa tumepata

Aisee siku ya 40 walitokea kunguru kwa maelfu; walizunguka pale kama saa nzima huku wakipiga kelele, nilishangaa sana kwa nini

Baada ya huo muda wakaondoka; hadi leo sijaona kunguru tena mabandani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom