Sidhani kama atakua na sumu mwili mzima,kuna Samaki fulani ana sumu kali na anafaida kiafya mwilini lakini hutengenezwa na Certified or approved chef only, watu wa Asia wanamla ila ni ghali sana, sasa sijui ndio huyu anayeongelewa hapa?
Wanaliwa na kasa mkuu transcend