OBD_Mwenyewe
Member
- Jan 8, 2018
- 14
- 9
Asante sana, ubarikiwe na MUNGUHongera kwa kazi nzuri.
Kwahiyo kama ni shemeji ndio utamsaidia au la???Huyo kwenye Avatar ndio shemeji?
punguza jazba dogoKwahiyo kama ni shemeji ndio utamsaidia au la???
Kweli we Avatar mok unajaza server tu hapa!
Punguza mipasho mtoto wa kiume!Ndio nitamsahidia!
Ndie mimi Avatar mok, server zipo kwaajili yangu.
Vipi kwani, kuna tatizo?
Haya, tuache tusiharibu uzi wa watu aiseeeeWewe si unamuulizia Avatar mok ndio mie!
Mipasho ipo wapi hapo!?
Kuwa mstaarabu unadhani nakuogopa¿? , nimekwambia acha tusiharibu thread ya watu!!!usiwe unadakia dakia vitu ambavyo hujaulizwa wewe siku nyingine.
😎😎
Kuendelea kubishana na mtu kama wewe ni kupoteza muda na kuwa mwendawazimu kama wewe!!Unatapatapa nini sasa? Nani aliozungumzia kuogopa mtu!
Hukuliona hilo mwanzo.
Sijakuelewa, shemeji ndio unamaanisha nini?Huyo kwenye Avatar ndio shemeji?
Habari za muda huu wana Jf,
Mimi ni.mwanafunzi, lakini pia MUNGU amenipa neema ya kuandika vitabu. Ila natafuta mfadhili wa kunisaidia katika eneo la fedha kwa sababu nimekwama. Kama kuna mtu yuko tayari anisaidie no 0679531449. Naomba kama uko tayari nitumie sms ikiwa imeanza na neno "KITABU" asante.
Naishi mkoa wa ARUSHA. Kitabu nimemaliza eneo la Typing, typ-setting na design cover. Pia kama atanisaidia ili nimrudishie fedha zake nitashukuru-kitabu kinahusu mambo ya rohoni, niko tayari kwa kile ambacho anasema.
Sijakuelewa, shemeji ndio unamaanisha nini?