Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Kiukweli hapa Tz kwa sasa tunaishi kwa kunyanyaana na kuoneana sana
Vyombo vya Dola hasa polisi na mgambo wanawaonea sana wananchi wa kawaida
Tumeshuhudia Dar mgambo akimpiga mwananchi kisa tu masuala ya usafi,yani kutumia njia halali ya kutatua kero imeshindikana hadi nguvu itumike!!
Leo napita hapa Morogoro mjini karibu na stand ya daladala nakutana na watu kibao wanapiga kelele,kuangalia,nilichokiona kimenisikitisha sana
Kijana mfanyabiashara akapigwa na kuburutwa na mgambo zaidi ya 10,yani MTU mmoja anapigwa na mgambo zaidi ya 5
Kina mama wanalia na kusema siku hizi wanaishi kama wapo Burundi,kiukweli imeisikitisha sana
Sasa wewe Meya wa manispaa kama umewatuma hawa mgambo wako kupambana na wafanyabiashara wanaotafuta riziki wakalishe watoto wao,waambie watumie njia halali ,njia hii wanayoitumia ipo siku wananchi watachoka na kusababisha uvunjifu wa Amani
Na kingine watz hatuna umoja yani mgambo 5 wanatishia kundi la watu 100 wanashindwa kupambana nao,huu ni uonevu na unyanyasaji
Hali hii itakuja kuleta vurugu mbeleni zisipotumika njia za kistaarabu kudeal na hawa wafanyabiashara.
Vyombo vya Dola hasa polisi na mgambo wanawaonea sana wananchi wa kawaida
Tumeshuhudia Dar mgambo akimpiga mwananchi kisa tu masuala ya usafi,yani kutumia njia halali ya kutatua kero imeshindikana hadi nguvu itumike!!
Leo napita hapa Morogoro mjini karibu na stand ya daladala nakutana na watu kibao wanapiga kelele,kuangalia,nilichokiona kimenisikitisha sana
Kijana mfanyabiashara akapigwa na kuburutwa na mgambo zaidi ya 10,yani MTU mmoja anapigwa na mgambo zaidi ya 5
Kina mama wanalia na kusema siku hizi wanaishi kama wapo Burundi,kiukweli imeisikitisha sana
Sasa wewe Meya wa manispaa kama umewatuma hawa mgambo wako kupambana na wafanyabiashara wanaotafuta riziki wakalishe watoto wao,waambie watumie njia halali ,njia hii wanayoitumia ipo siku wananchi watachoka na kusababisha uvunjifu wa Amani
Na kingine watz hatuna umoja yani mgambo 5 wanatishia kundi la watu 100 wanashindwa kupambana nao,huu ni uonevu na unyanyasaji
Hali hii itakuja kuleta vurugu mbeleni zisipotumika njia za kistaarabu kudeal na hawa wafanyabiashara.