LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Meya wa Arusha Gaudens Lyimo na baadhi ya madiwa wa CCM wameuza eneo la wazi lililoko Arusha keep left ya Kijenge kwa Greeks Club.
Kiwanja hicho namba 101, kiwanja cha wazi kilichopo kata ya Themi.
Natoa wito kwa wana Arusha, dawa ni kumuondoa huyu meya,na kumuondoa ni kuchagua CHADEMA kwenye uchaguzi wa mwezi ujao.
Kiwanja hicho namba 101, kiwanja cha wazi kilichopo kata ya Themi.
Natoa wito kwa wana Arusha, dawa ni kumuondoa huyu meya,na kumuondoa ni kuchagua CHADEMA kwenye uchaguzi wa mwezi ujao.