Mpiga Ulimi
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 704
- 337
U-DC umekupumbaza akili.Hili swali limeulizwa na mtu mwenye akili timamu ama na hawa walevi waliojazana JF! Maana siamini mtu mwenye akili timamu anaweza kuuliza swali lililo wazi kama hili. Ni sawa na kuuliza kati ya mwenyekiti na katubu Mkuu CHADEMA nani ni mkubwa