Meya na Mkuu wa Mkoa, ni nani inapaswa awe juu?

Mnashusha hazi ya huku jf jamani. maswali mengine ulizaneni huko huko, hivi mfano, niko hapa arusha, meya anaweza kwenda kusimamia mambo yanayotokea wilaya ya karatu, au ngorongoro, uijibu hilo swali utajua kati ya mkuu wa mkoa na meya nani yuko juu
kwanini wewe usijiulize kuwa unashusha hadhi yako mwenyewe ya kukubali kuchukua buku saba na kuja kuongea ushuzi hapa wa lumumba? unajua hasira za u-DC msizilete humu kaene huko tuwaletee panadol nyie vinyago wa maburu wa lumumba
 
duh sasa mimi na wewe nani wa kumlaumu baba yake? kwanza utoke kukaa kwa wazazi wako tafuta maisha yako ndio uje hapa kubishana na watu wazima,, bado unanyonya kwa wazazi unaleta mabishano na baba yako wa kambo? kuwa na adabu wewe ****** wa lumumba
Mkuu mbona unatokwa na mapovu, Makonda mlisoma wote nini? Ndo kisha toka hivyo, mchezo mada hii haihitaji hasira kuichangia. Mimi sinyonyi, sillelewi na Baba wa Kambo(nina familia yangu).
 
Matusi ni dalili za kukosa hoja. Vyoo sizibui, haya rudi kwenye mada sasa.
basi kama hutaki kuzibua vyoo rudi shule ukajifunze hata chereani wewe,, unatumika kama karatasi za vyooni (TP) sasa ukuu wa wilaya umewapita kando mmerudi hapa kwa hasira za kuleta umbea na hasira za kike
 
Hili swali limeulizwa na mtu mwenye akili timamu ama na hawa walevi waliojazana JF! Maana siamini mtu mwenye akili timamu anaweza kuuliza swali lililo wazi kama hili. Ni sawa na kuuliza kati ya mwenyekiti na katubu Mkuu CHADEMA nani ni mkubwa
Kwani ukipigia mfno hadi utaje chadema? Duu elimu kitu mhimu sana kila kutu siasa, sometimes people ask 4 the purpose of learning ,not jocks
 
Mkuu mbona unatokwa na mapovu, Makonda mlisoma wote nini? Ndo kisha toka hivyo, mchezo mada hii haihitaji hasira kuichangia. Mimi sinyonyi, sillelewi na Baba wa Kambo(nina familia yangu).
kama una familia yako basi wewe kuna mtu anakulelea familia kwani huwezi kuwa na mawazo ya ovyo kama haya nalafu uje hapa na mawazo mgando kiasi hiki,,, huoni aibu mtu kukusomeshea mtoto wako? acha ulevi acha njaa ya buku saba lea familia yako
 
kwanini wewe usijiulize kuwa unashusha hadhi yako mwenyewe ya kukubali kuchukua buku saba na kuja kuongea ushuzi hapa wa lumumba? unajua hasira za u-DC msizilete humu kaene huko tuwaletee panadol nyie vinyago wa maburu wa lumumba

mimi si wa lumbumba, ni kwamba naumia kuona mtu awezi kufafanua simple issue. je watoto wetu wakituuliza kaswali km haka ka urai ka darasa la kwanza alafu unashindwa kujibu kweli ni aibu aibu aibu, mtu mzima anajua kupost mpaka thread anauliza kitu kama hiki,
 
kama una familia yako basi wewe kuna mtu anakulelea familia kwani huwezi kuwa na mawazo ya ovyo kama haya nalafu uje hapa na mawazo mgando kiasi hiki,,, huoni aibu mtu kukusomeshea mtoto wako? acha ulevi acha njaa ya buku saba lea familia yako
Acha hasira, kuwa mtu wa kukubali tofauti ya mawazo mkuu. Hasira ya nini? Haya tunayotautiana yanahusiana vipi na malezi ya familia? Mbona wewe mama yako alikuzaa akiwa amesimama na hatusemi?
 
Acha hasira, kuwa mtu wa kukubali tofauti ya mawazo mkuu. Hasira ya nini? Haya tunayotautiana yanahusiana vipi na malezi ya familia? Mbona wewe mama yako alikuzaa akiwa amesimama na hatusemi?
Unajua nilikuwa najiuliza nini faida za mwenge sasa matokeo yake ni pamoja ya ongezeko la wakimbizi kutoka vijijini kuja mijini kutokana na misafara ya bure,,, umepatikana kutokana na mkesha wa mwenge na ukazamia magari ya mwenge kufika mjini,, sasa umeajiriwa kama mzibua vyoo pale lumumba na kupewa buku 2 ili kuongea mashudu huu,, sikuachi hivi hivi sura kama ngozi ya goti
 
Unajua nilikuwa najiuliza nini faida za mwenge sasa matokeo yake ni pamoja ya ongezeko la wakimbizi kutoka vijijini kuja mijini kutokana na misafara ya bure,,, umepatikana kutokana na mkesha wa mwenge na ukazamia magari ya mwenge kufika mjini,, sasa umeajiriwa kama mzibua vyoo pale lumumba na kupewa buku 2 ili kuongea mashudu huu,, sikuachi hivi hivi sura kama ngozi ya goti
Hayo ni mawazo ya limbukeni wa social networks kama wewe, haunipi tabu. Sawa nimekubali nimepatikana kutokana na mwenge kwa hiyo? Angalia kwanza ID yangu ni mwaka gani na wewe ni wa lini humu mitandaoni. Kama umetumwa umeingia kwa pupa, angalia wenzako tunatofautiana kimtazamo lakini hawatukani. Wewe unaweza usihimili mikikimikiki ya hoja kuntu zinazotolewa humu.
 
Hili swali limeulizwa na mtu mwenye akili timamu ama na hawa walevi waliojazana JF! Maana siamini mtu mwenye akili timamu anaweza kuuliza swali lililo wazi kama hili. Ni sawa na kuuliza kati ya mwenyekiti na katubu Mkuu CHADEMA nani ni mkubwa
Punguza jazba utapata uDc,nasikia kuna second selection
 
Mleta mada inapaswa uelewe Tanzania bado tupo mfumo wa chama kimoja kushika hatamu, kama umezaliwa muda kidogo ni kwamba hata mwenyekiti wa ccm wa Dar alikuwa na hadhi sawa na meya wa jiji na alikuwa anaishi kwenye nyumba za viongozi wa serikali Oysterbay.

Tanzania mnayoitamani hamtaiishi ni kwa ajili ya kizazi kijacho ndio upuuzi wote huu hautokuwepo.

Kwa Watanzania hawa waliopo sahau katiba ya wananchi na cha msingi uishi na kauli mbiu mpya huu mchezo hautaji hasira.
Utakonda bure wakati wenzio tunanenepa tu kwa kitimoto na bia.
 
Swala la madawati ni kampeni iliyoasisiwa na Makonda akiwa DC wa Kinondoni na alipingwa na Meya wa Kinondoni kwa hoja kuwa Kino inakusanya kodi hivyo haihitaji msaada.

Sasa kwa mazingira hayo unategemea wanaojitolea watampelekea nani?

Nachoona hao mameya wapo wapo tu na hawataki mtu mwingine apate coverage na ikitokea mtu mwingine akaja na kitu kipya wanaitisha press conference kwamba wanaingiliwa majukumu.

Hawana hata vision wanasubiria malumbano tu yaani akitokea mtendaji mwingine active wana-mind eti kawaingilia majukumu.
 
Tatizo lenu mnachanganya mambo, hamjui kuwa meya ni kiongozi mkuu wa serikali za mitaa wakati RC ni kiongozi mkuu wa serikali kuu,

RC ndo kiongozi wa mkoa wote, vyombo vyote vya ulinzi na usalama vipo chini yake!! RC anaweza kumlaza rumande meya kwa masaa 48

Kimsingi, kila mmoja ni boss ktk eneo lake, meya ni boss wa local government authorities whereas RC ni boss wa mkoa mzima na yeye ndo overall in charge wa shughuli zote za serikali ktk mkoa wake, mpaka shughuli za serikali za mitaa RC analo jukumu la kuzifuatilia,

Hata siku moja boss wa local government authorities hawez kuwa juu ya boss wa central government,
 
Tatizo lenu mnachanganya mambo, hamjui kuwa meya ni kiongozi mkuu wa serikali za mitaa wakati RC ni kiongozi mkuu wa serikali kuu,

RC ndo kiongozi wa mkoa wote, vyombo vyote vya ulinzi na usalama vipo chini yake!! RC anaweza kumlaza rumande meya kwa masaa 48

Kimsingi, kila mmoja ni boss ktk eneo lake, meya ni boss wa local government authorities whereas RC ni boss wa mkoa mzima na yeye ndo overall in charge wa shughuli zote za serikali ktk mkoa wake, mpaka shughuli za serikali za mitaa RC analo jukumu la kuzifuatilia,

Hata siku moja boss wa local government authorities hawez kuwa juu ya boss wa central government,


TRY, SIMPLE CLARIFICATION NADHAN AMEPATA MWANGA ANGALAU KWANI NIKIMWONGEZEA ZAID ATAZIDI KUCHANGANYIKIWA COZ NIMESHAONA AKILI YAKE ILIVYO
 
Mwenye nyumba (MKOA) ni mkuu wa Mkoa.
Meya ni mfanyakazi wa ndani ambaye kazi yake kubwa ni kufagia na kuzoa takataka ndani ya nyumba (Mkoa-mitaani nk) na kuzipeleka dampo ili nyumba (MKOA) uwe safi wakati wote
 
Huna lolote unalolijua,
Mana hujui hata kama RC ni mtumishi wa umma....yote unayoongea humu huwa ni matakataka tu

Kama ni ulevi basi wewe unaongoza, unless useme ulikuwa hujui kama RC ni mtumishi wa umma.
Nimekutoa maana
 
Hili swali limeulizwa na mtu mwenye akili timamu ama na hawa walevi waliojazana JF! Maana siamini mtu mwenye akili timamu anaweza kuuliza swali lililo wazi kama hili. Ni sawa na kuuliza kati ya mwenyekiti na katubu Mkuu CHADEMA nani ni mkubwa
Kwa akili yako fupi unaona ni sawa kulinganisha kati ya mwenyekiti wa chama na katibu na upande wa pili kati ya Mkuu wa Mkoa na Meya??? Huwa unawaza chini ya kiwango kabisa,
 
Back
Top Bottom