Meya manispaa ya Songea afariki dunia

Meya manispaa ya Songea afariki dunia

Magarinza

Senior Member
Joined
May 9, 2008
Posts
122
Reaction score
13
Nimepata taarifa ya kuwa meya wa manispaa ya Songea na diwani wa kata ya Rizabon CCM kafa. Ila nimeshangaa jinsi watu walivyofurahia kwa kuwa kutakuwa na uchaguzi mdogo..
 
Nimepata taarifa ya kuwa meya wa manispaa ya Songea na diwani wa kata ya Rizabon CCM kafa. Ila nimeshangaa jinsi watu walivyofurahia kwa kuwa kutakuwa na uchaguzi mdogo..
<br />
<br />
toa upuuzi wako hapa,kuwa na akili timamu,watu wamefurahia ulifanya tafiti gani??tuache ushabiki kwa mambo ya msingi,mtu kafa hata condolence hakuna,tatizo huja jamii forum big no.cdm,uupuzi mkubwa huu
 
upuuzi mtupu huu,acheni ujinga,hata condolence ttzo big no.humu ni cdm hawana hata sympathy kwa wafiwa wanawaza nani ata replace subiri muda utafiki,epuka tamaaa ninyi till 2045 ndio may be mtapata ridhaa ya kuongoza nchi bado hamjakomaa,achenoi ushabiki wa kijinga,
 
upuuzi mtupu huu,acheni ujinga,hata condolence ttzo big no.humu ni cdm hawana hata sympathy kwa wafiwa wanawaza nani ata replace subiri muda utafiki,epuka tamaaa ninyi till 2045 ndio may be mtapata ridhaa ya kuongoza nchi bado hamjakomaa,achenoi ushabiki wa kijinga,
<br />
<br />
jifunze kuelewa, mtoa mada amesema naye anashangaa watu kufurahia, punguza jazba, wewe toa pole kwa wafiwa, muombee marehem, ukiweza mlilie, ila usilazimishe hisia zako zifuatwe, pia usilete kisingizio cha uungwana, ustaarabu, utanzania n.k MUNGU AMZAWADIE MAREHEMU ZAWADI ALIYOMPANGIA. AMEN
 
Mngekuwa wastaarabu kuacha matusi kumuenzi mareehemu hata kama watu kadhaa wamekosea
mba rikiwe
 
upuuzi mtupu huu,acheni ujinga,hata condolence ttzo big no.humu ni cdm hawana hata sympathy kwa wafiwa wanawaza nani ata replace subiri muda utafiki,epuka tamaaa ninyi till 2045 ndio may be mtapata ridhaa ya kuongoza nchi bado hamjakomaa,achenoi ushabiki wa kijinga,

ndugu generalisation ya namna hii si nzuri kama yy ccm ila huyo aliyekufa mungu amrehemu si gamba mwenzao itakuwaje.CDM KWELI IMEWASHIKA WALIO WENGI KILA OVU/BAYA MWATAKA WAO NDO WAONEKANE NDO WAKOSAJI TUPAMBANE KWA HOJA SI VIOJA
 
upuuzi mtupu huu,acheni ujinga,hata condolence ttzo big no.humu ni cdm hawana hata sympathy kwa wafiwa wanawaza nani ata replace subiri muda utafiki,epuka tamaaa ninyi till 2045 ndio may be mtapata ridhaa ya kuongoza nchi bado hamjakomaa,achenoi ushabiki wa kijinga,
Hujamwelewa mtoa hoja kasema watu wamefurahi kwani kasema ni watu gani inawezekana wanaCCM wenyewe kwa wenyewe walikuwa na bifu zao, usiwe una-judge mambo kwa kutumia hisia. Poleni wafiwa na poleni wana CCM wa Songea.
 
upuuzi mtupu huu,acheni ujinga,hata condolence ttzo big no.humu ni cdm hawana hata sympathy kwa wafiwa wanawaza nani ata replace subiri muda utafiki,epuka tamaaa ninyi till 2045 ndio may be mtapata ridhaa ya kuongoza nchi bado hamjakomaa,achenoi ushabiki wa kijinga,
<br />
<br />
acha jazba unastukastuka Kishamba kufa ni nafasi kipindi hiki cha mashindano,tunaweka mtu hapo maramoja!
 
Kada wa Chama Cha Mapinduzi, Meya wa Songea APUMZIKE KWA AMANI.
 
upuuzi mtupu huu,acheni ujinga,hata condolence ttzo big no.humu ni cdm hawana hata sympathy kwa wafiwa wanawaza nani ata replace subiri muda utafiki,epuka tamaaa ninyi till 2045 ndio may be mtapata ridhaa ya kuongoza nchi bado hamjakomaa,achenoi ushabiki wa kijinga,
<br />
<br />
Sasa mkuu Cdm inaingiaje hapo kama sio zomea zisizo na mantiki? Jenga hoja mkuu achana na majinamizi ya kifikra
 
Kuna hili laonekana kwa wana JF : Kwanza tumepata taarifa ya msiba,cha pili msiba unamuhusu mwanasiasa,cha tatu hapa tunatakiwa ku'mourn' na mwisho cha nne ni kuiongelea kata ya uchaguzi...tofauti yake naona vipengele 1,2,3 vinalukwa then preference inaenda ktk 4.Hey ! ndicho chatupasa ?
 
Back
Top Bottom