William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,378
Meya Jerry Slaa asema SIASA ya UJAMAA na KUJITEGEMEA ilitufanya sisi WaTanzania kuwa Wavivu; Kuwa Wategemezi wa Serikali, kuliko kujitegemea Wenyewe....Source; MKASI
- Hatimaye kuna Mwanasiasa mwingine ambaye ameliona hili ambalo nimeliona siku nyingi sana na kulisemea sana hapa na kunileteea mfarakano na wanaompenda sana Mwalimu kwamba hawako tayari kusikia anakosolewa, nasema tena Mwalimu was great leader never ever again, lakini alikuwa na mpungufu mawili makubwa ya.....
Anasema ukweli.
Mkuu ni kweli Mwl alikuwa Binadamu wa kawaida na Mwansiasa kama Wanasiasa wengine lakini hakuwa Mwanasiasa wa kawaida kama Mstahiki Meya wetu.- Hatimaye kuna Mwanasiasa mwingine ambaye ameliona hili ambalo nimeliona siku nyingi sana.....KIDUMU CCM!!
LE MUTUZ
- Hatimaye kuna Mwanasiasa mwingine ambaye ameliona hili ambalo nimeliona siku nyingi sana....KIDUMU CCM!!
LE MUTUZ
Sasa TUAMBIA ni Siasa Gani CHAMA CHA MAPINDUZI inachozifuata ? na Hizo SIASA Zinajua UCHUMI na KUHESHIMU SHERIA za JAMHURI? MBONA BADO MAFISADI bado wapo ndani ya hiyo SERIKALI PAPA zaidi ya wakati wa Mwl. ?
Hatujaona VITABU vya kuelezea siasa ya sasa ya chama cha mapinduzi; Mnaogopa nini?
Hata sasa watu wameiba hela za EPA wakaambiwa warudishe badala wapelekwe mahakamani....
- Huwezi kurekebisha nyumba bila kwenda kwenye foundation yake ni simple common sense!! wala hauhitaji PhD!! kujua kwamba foundation ya taifa letu ilikuwa na matatizo na ndio tunayopigana nayo sasa hakuna mapya hapa!! Mafisadi walikuwepo siku zote, wakiharibu hapa wanahamishiwa pale au hujui?
- Waacheni wananchi wa Taifa hili wajadili Taifa lao bila kutishwa tishwa kwa sababu wanajadili Mapungufu ya Mwalimu, please lioneeni huruma hili taifa!!
Le Mutuz
- Hela aliiba Meneja wa Gapex kutoka Musoma, enzi za Awamu ya kwanza alifanywa nini? Sasa ndio iwe EPA afadhali hao wanarudisha, SUKITA ilianza na kufa under nani? Air Tanzania ilianzishwa na kuuliwa under utawala wa nani? waliohusika walifanywa nini Mkuu? Waacheni wananchi alijadili Taifa lao bila kuwatisha, infact kuna muandishi wa habari aliyejaribu sana kufuatilia kufa kwa Gapex, akaishia kuitwa Ikulu na Butiku na kutishiwa sana na wiki iliyofuata akahamishiwa Ubalozini UK, please wacheni wananchi wazungumze,
- Jerry Silaa ni kichwa sana namuaminia sana na niliwahi hata kuandika articel kub wa sana kukitaka chama changu kimpe nafasi kubwa kwenye chama ninashukuru sana kwamba chama changu kilisikia, amesema anachoamini kuwa ndio tatizo na wewe sema lako sio kukubisha bisha bila hoja za msingi hapa, Mwalimu alikuwa binadam kama wengine wote kuna mtu mmoja hap anashauri nikasome kitabu cha kujikosoa cha Mwalimu huyo huyo aliyetuwekea foundation mbovu hili taifa, ndio huwa ninajiuliza sana hivi hili taifa tulilogwa na nani hasa? that we cant think right kila siku kutetea mediocre tu!!
Le Mutuz
Party of the Revolution Swahili: Chama Cha Mapinduzi | |
---|---|
| |
Chairman | Jakaya Kikwete |
Secretary-General | Abdulrahman Kinana |
Founder | Julius Nyerere Abeid Karume |
Vice Chairman (Mainland) | Philip Mangula |
Vice Chairman (Zanzibar) | Ali Mohamed Shein |
Founded | 5 February 1977 |
Merger of | TANU and ASP |
Headquarters | Dodoma, Tanzania |
Newspaper | UHURU |
Youth wing | Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) |
Women's wing | Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) |
Parents' wing | Wazazi |
Membership (2013) | 6.4 million [SUP][1][/SUP] |
Ideology | Formerly: African socialism |
Political position | Centre-left |
International affiliation | Socialist International |
Colors | |
National Assembly | 258 / 354 |
Election symbol | |
hoe and hammer | |
Website | |
www.ccm.or.tz | |
Party flag | |
Politics of Tanzania Political parties Elections |
Sasa Hata HAUJUI ni SIASA GANI CHAMA CHA MAPINDUZI inaziendesha? HIYO SIO AIBU? Unawaachia wananchi wanajua nini? kweli tutafika?
Sasa; Mnavyosafiri ni PESA za nani Mnazozichota? na Mkifika huko Mnawambia wananchi kuwa Siasa za Ujamaa na Kujitegemea Zimekufa????
Au Mnanyamaza KIMYA? Hakuna anayetangazia Wananchi VIJIJINI na NCHI NZIMA... kwaninni?????
CHANGE the WORLD BILLBOARD USIDANGANYE ULIMWENGU CCM ni CHAMA CHA KIBEPARI
Chama cha Mapinduzi (CCM) (Party of the Revolution in Swahili) is the ruling political party of Tanzania.
Party of the Revolution
Swahili: Chama Cha MapinduziChairman Jakaya Kikwete Secretary-General Abdulrahman Kinana Founder Julius Nyerere
Abeid KarumeVice Chairman (Mainland) Philip Mangula Vice Chairman (Zanzibar) Ali Mohamed Shein Founded 5 February 1977 Merger of TANU and ASP Headquarters Dodoma, Tanzania Newspaper UHURU Youth wing Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Women's wing Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Parents' wing Wazazi Membership (2013) 6.4 million [SUP][1][/SUP] Ideology Formerly: African socialism Political position Centre-left International affiliation Socialist International Colors National Assembly 258 / 354Election symbol hoe and hammer Website www.ccm.or.tz Party flag Politics of Tanzania
Political parties
Elections
- U know jina lako ni kubwa sana humu JF, lakini unanishangaza sana hoja unazoandika unasema nini hasa mkuu? Jerrry Silaa amesema anayoona ni sababu iliyotufikisha hapa hili taifa, mambo ya elimu ya bure, mambo ya Mwenyekiti wa Tawi la CCM kiwandani kuwa na nguvu kuliko Mkurugenzi wa Kiwanda, mambo ya kuwapa mashamba makubwa wananchi waiokuwa na uwezo wa kuyatunza na kuyaendesha, mambo ya wanafunzi kushinda mashambani kuliko darasani, ndio yametufikisha hapa, sasa tubadilike hakuna jinsi tena!!
- I mean unaniuliza maswali very cheap kwani Viongozi wa Chadema wanaposafiri kwenda UK na USA kufungua matawi ya Chadema yenye wanachama watano tu huku Songea hawana tawi kabisa huwa wanapata wapi hizo pesa? Please maaan be like your name mkuu!!
Le Mutuz
Le Mutuz
- Kiwe kisiwe it does not matter, it is what it is! ila hakuna tena elimu ya bure, wala mishahara bila kazi kama zamani!!
Le Mutuz