Ukiwa Russia huwezi kumkosoa Putin
Ukiwa Russia huwezi kumkosoa Putin
Mke na mume hawavimbiani....subiri tuone hiyo saudia itafanya manunuzi ya nje kwa hela gani.Yupo Njiani kujiunga, Nadhan BRICS katika inchi zitazofanyiwa haraka mchakato wa kujiunga ni saud ,Kuna mirija ya marekani pale lazima wamwagie mfuta ya taa.
Tayari Saudi kashamvimbia marekani anaacha kutumia dollar.
wewe umeonewa linBRICS wanakuja kuleta multipolar world na ndio itakuwa kaburi la ubabe wa marekani kwa vi nchi kama Tanzania He will no longer be feared .
Hii ni myth. Kwani utawala wa Mullahs wa Iran umekosana na USA lini? Mbona upo tu mwaka wa 40+ huu?Mke na mume hawavimbiani....subiri tuone hiyo saudia itafanya manunuzi ya nje kwa hela gani.
Hao wafalme wanaotawala SAUDI siku wakikosana kikweli na marekan siku zao za kutawala zitakuwa ukingoni
Nani alikuambia uo muungano ulianza baada ya SMO kuanza nchini Ukraine?sasa si muungano wa kishoga huo , yaan jina la muungano linawabeba wachache , naamin ndan ya miaka 5 mbele vita ya Ukraine ikiisha muungano wao watauona mzigo tu na utavunjika tu , maana kama mzan umeegemea kwa mataifa fulan tu