Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,139
- 14,557
Yeah,on one and two..It's Mpwayungu Village again 😂🤣
Yeah,on one and two..It's Mpwayungu Village again 😂🤣
Aahaaaaaa,ni konki huyoMpwayungu Village atakua ni Mwalimu pale Kibaigwa.
Yupo vizuri huyo mpka wanafunzi wake wanamtungia maswalimpwayungu village kwenye ubora wake
AahaaaaaKama Nicki Minaj alivyo muiga Rosa Ree sio??
Hata Mimi nilipofika miaka mitano nilijua Neno Jana nimeli Invent Mimi...
Mpwayungu Village yupo vizuriAlichokifanya mtoa mada ni kuitangaza hiyo app.
Zuckerberg ampe maua yake.
Huezi Shindanisha Tiktok na Twiter au Thread Ufanyaji wa Kazi Ni tofauti.Ni sawa Na Kufananisha andazi Na BajajiBaba lao ni tiktok tuendako, tupende tusipende