Kigezo cha kitaalam ni kuangalia wastani wa magoli ya mchezaji kwa kila mechi. Tangu Messi aanze kucheza la liga mwaka 2004, amefunga magoli 283 katika mechi 312 hivyo wastani wa magoli kwa kila mechi kwa Messi ni 0.9. Yaani kwa wastani dakika 90 hazimtoshi kupata goli moja inabidi akope dakika kadhaa kwenye mechi ya pili ili apate goli moja.
Ronaldo alianza kuchezea la liga mwaka 2009. Amefunga magoli 220 katika mechi 196, ikiwa ni wastani wa magoli 1.13 kwa kila mechi. Yaani Ronaldo anahitaji pungufu ya dakika 90 kupata goli moja. Kwa kigezo hicho cha kitaalam Ronaldo ni mchezaji mzuri zaidi ya messi na kasi yake ya kufunga magoli haijawahi kutokea!
nahs we ndo utakuwa hujui kitu mkuu but huwez fananisha ness na cr7
Sitak kubishana na ww, na kwa huu uandishi wako wa "ness" inaonyesha bado mtoto ww. Una mawazp ya kitoto na uwezp wako wa kuchambua mambo bado mdogo sana.
Kwaheri.
Mkuu so unazungumzia mfungaji na mchezaji bora au? Maana leo nikikuambia unipe record ya Zidane kama alishawah chukua kiati cha dhahabu ila kwann alichukua uchezaji bora?
Mess magori anayofunga yana akil kuliko anayofunga Ronaldo, Ronaldo anafunga magori easy kabisa ambayo ata Sergio Ramos ila angalia anavochukua mpira Mess na kwenda kiweka kimiani utaona utofauti wa Mess na Ronaldo.
Jana nilikuwa na angalia mpira na mshabiki mkubwa wa Ronaldo lakin alikubali kuwa Mess ni zaid ya Ronaldo huku akitumia neno la utani (Mess kweli yule jamaa Zombie) na kunalizia kuwa Ronaldo amepata bahati ya kufunga tu lakin kimsingi hamfikii Ronaldo
Why CR7 fans think he is the best:
-Number of goals
Why football fans know Messi is the best:
- Vision
- Playmaking
- Consistency
- First touch
- Dribbling
- Acceleration
- Chances created
- Number of goals
- Number of assists
- Quality of goals
- Quality of assists
- Free kicks
- Reactions
- Spaced opened
- International performance
- Selfless play
- Team-first mentality
- Fair play
- Respectful
Kigezo cha kitaalam ni kuangalia wastani wa magoli ya mchezaji kwa kila mechi. Tangu Messi aanze kucheza la liga mwaka 2004, amefunga magoli 283 katika mechi 312 hivyo wastani wa magoli kwa kila mechi kwa Messi ni 0.9. Yaani kwa wastani dakika 90 hazimtoshi kupata goli moja inabidi akope dakika kadhaa kwenye mechi ya pili ili apate goli moja.
Ronaldo alianza kuchezea la liga mwaka 2009. Amefunga magoli 220 katika mechi 196, ikiwa ni wastani wa magoli 1.13 kwa kila mechi. Yaani Ronaldo anahitaji pungufu ya dakika 90 kupata goli moja. Kwa kigezo hicho cha kitaalam Ronaldo ni mchezaji mzuri zaidi ya messi na kasi yake ya kufunga magoli haijawahi kutokea!
Hata ukiangalia hivyo bado anaongoza, tatizo watu wanachangia kiubaguzi, kila wakitaja mafanikio yake wanasema yamechangiwa na akina Iniesta lakini hawatakia kutaja ukweli kua Messi ana assist nyingi kuliko hao. Kama mafanikio yake hayawezi kuwepo bila hao tulitegemea akina Iniesta wawe na assist nyingi kuliko yeye. Kwa kipindi chote Ronaldo alichochezea Madrid viungo wa Madrid wamekua na assist nyingi kuliko viungo wa barcelona. Hata kipindi akia Man Utd Roney ndie aliyeonekana kua na assist nyingi. Lakini Messi mda mrefu amekua na assist nyingi kuliko viungo wa club yake, kwa maana hiyo yeye anawachezesha zaidi wenzake.
na bdo na nimpaka upate vidonda vya tumboMessi simpendi kabisa toka moyoni NB; BIFU NA CHUKI BINAFSI
na bdo na nimpaka upate vidonda vya tumbo
mwaka huu hamna haja ya kupiga kura mshindi keshapatikanaMkisha maliza kubishana mjue tuzo ya mchezaji bora wa dunia, mfungaji bora la liga, uefa na ile ya ulaya n.k bado viko nyumbani kwa Cristiano Ronaldo, kasirika,nuna,bisha,usibishe,kataa,kubali,cheka,zomea,umia,
Habari ndio hiyo.
mwaka huu hamna haja ya kupiga kura mshindi keshapatikana
Mkuu so unazungumzia mfungaji na mchezaji bora au? Maana leo nikikuambia unipe record ya Zidane kama alishawah chukua kiati cha dhahabu ila kwann alichukua uchezaji bora?
Mess magori anayofunga yana akil kuliko anayofunga Ronaldo, Ronaldo anafunga magori easy kabisa ambayo ata Sergio Ramos ila angalia anavochukua mpira Mess na kwenda kiweka kimiani utaona utofauti wa Mess na Ronaldo.
Jana nilikuwa na angalia mpira na mshabiki mkubwa wa Ronaldo lakin alikubali kuwa Mess ni zaid ya Ronaldo huku akitumia neno la utani (Mess kweli yule jamaa Zombie) na kunalizia kuwa Ronaldo amepata bahati ya kufunga tu lakin kimsingi hamfikii Ronaldo
Mkuu so unazungumzia mfungaji na mchezaji bora au? Maana leo nikikuambia unipe record ya Zidane kama alishawah chukua kiati cha dhahabu ila kwann alichukua uchezaji bora?
Mess magori anayofunga yana akil kuliko anayofunga Ronaldo, Ronaldo anafunga magori easy kabisa ambayo ata Sergio Ramos ila angalia anavochukua mpira Mess na kwenda kiweka kimiani utaona utofauti wa Mess na Ronaldo.
Jana nilikuwa na angalia mpira na mshabiki mkubwa wa Ronaldo lakin alikubali kuwa Mess ni zaid ya Ronaldo huku akitumia neno la utani (Mess kweli yule jamaa Zombie) na kunalizia kuwa Ronaldo amepata bahati ya kufunga tu lakin kimsingi hamfikii Ronaldo
Yaani wewe unakichwa kigumu kweli. Fanya kitu ki1. Leta takwimu za wote tangu 2009. Nani kapasia nyavu Mara nyingi. Nani kufanya assist nyingi. Hii ya kusema Messi kaanza kucheza 2004 ni upuuzi tu.