Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
Messi is two years younger than Ronaldo.. Ronaldo kaanza kucheza CL mapema zaidi ya Messi lakini cha kushangaza Messi ndiye anayeongoza.. Tukiweka ushabiki pembeni huyu andunje ni exceptional
Katika club zote alizopitia CR7 yani Sporting Cp, Man United na Madrid, ametupia jumla ya goli 294 katka miaka 10 ya kucheza soka na Messi katupia goli 253 pale Barcelona katika miaka yake 10 ya kucheza soka.
Hayo magoli waliyofunga ni katka mechi za ligi tu.
Hivyo ukiamua nani mkali kwa kuangalia mwenye goli nyingi CR7 ni superior kwa Messi. Maana ametupia goli za kutosha, alafu alipoteza msimu wa kwanza kwenye timu isiyo na mbele wala nyuma Sporting CP tofauti na Messi aliyekua kazungukwa na Mafundi kama Gaucho na Deco.
NB: Asante Google kwa hizo data.
Kuweka ni moja, kuilinda ni suala jingine...
Anastahili...
Wachambuzi wa soka wangelikuwa kama wewe tusingelikuwa wasomaji wa makala za soka katu...
Kwa hiyo mchezaji bora ni yule anayefunga magoli mengi ya ligi alizocheza maishani mwake?
Vipi kuhusu assists, magoli katika mechi zote, uwiano wa mechi na magoli, ushindi wa vikombe na medali, msaada kwa timu n.k
We mtu? Si ni magoal ya la liga tuu hayo messi aliyofunga kwa misimu na kuvunja rekod ya zarra ya magoal 251, statistically messi kamzidi vibaya kwa magoal ronaldo. La liga 253, uefa 74, argentina....!! Usiongee vitu kama haujui au google
We jamaa vipi? Mi nazungumzia magoli aliyofunga CR7 tangu aanze kucheza mpira, na magoli aliyofunga Messi tangu aanze kucheza mpira. Hujaelewa kipi sasa? Au ndo umeamua kubisha tu? Alafu kwani CR7 ameanza kucheza la liga lini? Na Mesi kaanza lini?
Champions league wote wanacheza lete statistics, za mechi walizocheza, assist na magoli hapo ndio tutajua nani mkali tusiongee sana lete data
CR7 kazaliwa 1985 na Messi kazaliwa 1987.
CR7 alianza kucheza 1st team msimu wa 2002/03 Sporting Cp ya ureno akiwa na miaka 17 na Mesi alianza msimu wa 2004/5 pale Barcelona akiwa na miaka 17.
Katika club zote alizopitia CR7 yani Sporting Cp, Man United na Madrid, ametupia jumla ya goli 294 katka miaka 10 ya kucheza soka na Messi katupia goli 253 pale Barcelona katika miaka yake 10 ya kucheza soka.
Hayo magoli waliyofunga ni katka mechi za ligi tu.
Hivyo ukiamua nani mkali kwa kuangalia mwenye goli nyingi CR7 ni superior kwa Messi. Maana ametupia goli za kutosha, alafu alipoteza msimu wa kwanza kwenye timu isiyo na mbele wala nyuma Sporting CP tofauti na Messi aliyekua kazungukwa na Mafundi kama Gaucho na Deco.
NB: Asante Google kwa hizo data.
UEFA CL:
Messi goal 74 mechi 91.
CR7 goal 70 mechi 107.
Hii inaonesha Messi ni bora kuliko CR7 ........UEFA CL:
Messi goal 74 mechi 91.
CR7 goal 70 mechi 107.
Messi is two years younger than Ronaldo.. Ronaldo kaanza kucheza CL mapema zaidi ya Messi lakini cha kushangaza Messi ndiye anayeongoza.. Tukiweka ushabiki pembeni huyu andunje ni exceptional