Hivi anadhani sisi wapiga kura hiyo lugha yake tunaielewa, katusomesha?
Lowassa ni Fisadi na hatakaa aache ufisadi.
Huna adabu wewe..kwani kizungu ndio kusomaa?CCM imewashika pabaya sana...mtakunya hadharani sasa
he is a fat cat writing to fat cats. can he be another old wieldbeast seeking green pastures? may be but he seems to be in perpetual green grasses. hiyo kizungu yake wala hakuna atakayemuelewa.
It is not my IDEA it is the reality. Rais anaingia ameshaandaliwa manifesto. Kazi ya Rais tu ni kufanya management ili kuhakikisha yaliyomo kwenye manifesto yanatimizwa. Kwa taarifa yako, jua pia kwamba kuichagua CCM ni kuendelea na katiba mbovu iliyopitishwa na CCM, ambayo itaiongoza nchi hii for the next 50-100yrs. So this election is not really about Lowassa or Magufuli for me and every other sane Tanzanian, its about the bigger picture, the future of our beloved Tanzania!To hell with your idea dude, ila RAIS ana inspire mfumo, that is simple and clear regardless of sijui manifesto!
he is a fat cat writing to fat cats. can he be another old wieldbeast seeking green pastures? may be but he seems to be in perpetual green grasses.
Sure, kinachoumiza kwetu ni kwamba yanakuwa maumivu ya upande mmoja, tunazuga kulalamika wote ila wengine wanalalamika kinafiki. Wakiwa ndani mwao wanatucheka jinsi wanavyotutumia kujineemesha wao.
Ili uaminike naomba angalau kidogo tu uniwekee hapa Ufisadi wa Lowassa na amelitia hasara Taifa la Tanzania kwa upotevu wa fedha kiasi gani, maana tulishuhudia Basil Mramba na Yona wakihukumiwa kwa kosa la kulisababishia hasara Taifa sasa kwa Lowassa naona mnajikalilisha tu kuwa ni fisadi lakini sijawahi kuona sehemu yeyote mkiorodhesha ni nini alichokifisadi.
Yaani mwaka huu its now or never.Asante kwa kumpa elimu huyo. Halafu ndo huyu anashabikia Mafisiem tena kwa mapovu!!
Raimundo
Kumbeeeee
Ila hamna jinsi; hatuwezi ishi bila kuwa na viongozi. Swala la kuwapa nafasi za kujineemesha, hilo halikwepeki. Kwahio pamoja na kujineemesha kwao, wafanye kazi zionekane kwa taifa kusonga mbele. Sio kujimeemesha tu halafu tunapiga marktime!
Hivi anadhani sisi wapiga kura hiyo lugha yake tunaielewa, katusomesha?
Lowassa ni Fisadi na hatakaa aache ufisadi.
Kama ambavyo hujui maana ya ufisadi wa kutenda na kusadikishwa..
Kwani huyu baba Mwapachu hajui kiswahili, kila siku anaandika kiinglish
Mkuu matatizo tuliyonayo ni sawa sawa na matatizo waliyonayo mataifa mengine mengi yaliyo chini ya jangwa la Sahara, viongozi wetu ni wabinafsi, ni wachoyo na ni watu wasiojali kamwe.
Leo anaingia uongozi tukiwa tunasema ni msafi, kesho anachafuka.
Sasa ukiangalia uchaguzi tulionao kipindi hiki, wagombea tayari wamechafuka kabla ya kupewa madaraka, unadhani watasafishika wakiingia madarakani?
My dear friends, UKAWA and Lowassa supporters. We have five days to go before the election of our lives. We are all mobilised and galvanised to vote CCM out of power.
Our resolve and commitment is to change a government that has failed to transform our lives. We need a new government better able to deliver on our wishes and expectations.Edward Ngoyai Lowassa is the person to transform our miserable lives; to bring happy faces to us and our families. January Makamba has published an article in the Mail and Guardian of South Africa malagning Lowassa and accusing him in subtle ways of corruption.
We are not stupid not to flesh out his desperate manoeuvre to distort facts about the Richmond issue and in trying to criticise the opposition for embracing Lowassa ostensibly in contradiction to its stand on Lowassa in 2007.
CCM lacks the effective ammunition to knock Lowassa done. Majority Tanzanians are decided on Lowassa as their next President. They will not be moved by silly and unfounded smear from pedestrian politicians like January Makamba who still fail to understand why they never made it in their premature Presidential ambitions.
Tanzanians love Lowassa because they are satisfied of his leadership experience and capabilities. They trust him and trust his guts. They adore the sanctity of his marriage life. Lowassa is not corrupt; there has been no evidence to justify any of the accusations levelled against him.
He did not resign as Prime Minister early in 2008 on corruption charges. Re-read the Mwakyembe report. The opposition has already shown regret for its 'List of Shame' Mr Makamba. They put Lowassa's name in the list in 2007 as part of politics against CCM.
On Sunday 25 th October Tanzanians will make history by electing Lowassa their new President. It is so decided and Almighty God will ensure an election free of rigging so notoriously practised in our country
Mkuu kuna baadhi ya maneno ukiyaona unaunga unga mpaka unaelewa.
Umesomeka mkuu, pamoja.
Mkuu Lowassa ni fisadi tangu anatajwa na Mwl Nyerere, Lowassa ni Fisadi kabla hajachaguliwa na Kikwete kuwa waziri mkuu, Lowassa ni fisadi baada ya kuwa waziri mkuu, Lowassa ni fisadi baada ya kujiuzuru, na haya tumeyajua kwa vielelezo na ushahidi kutoka kwa wana siasa.
Lowassa ni Fisadi, tumempokea upinzani, eti leo tunasema Lowassa siyo fisadi, kweli? Ni kipi kimebadilika kwake?
Lowassa hatakaa aache kuwa fisadi, so tukae tunajua hili. Hatuwezi tena kuichagua CCM, lakini haina maana eti huyu tunayemchagua ameokoka, ni vile tu hatuna jinsi, ametushika tumeshikika, ameweza kusababisha mtu tuliyemwandaa kwa miaka kadhaa kuwa rais wetu tunamwita msaliti, mtu amabye kura yangu nisingejiuliza mara mbili mbili kumpa, huyu ni Dr Slaa, ndiye niliyemwamini kupitia CDM, na kura yangu isingekuwa ya kinyonge kama sasa.