kepler telescope
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 904
- 599
Hii elimu yangu niliyopewa unayosema kuwa ni duni mbona ndiyo hiyohiyo ya Mwapachu anaeongea kiingereza kizuri? Namaanisha ni elimu ya chama tawala, kwa hiyo nakushauri tu kwamba maisha ni akili yako tu kichwani kama ulivoona utafauti wangu wa kiingereza kati yangu na Mwapachu wakati wote tumepewa elimu na CCM, so hata ikiingia CHADEMA ni hivo hivo wenye akili wataendelea kuneemeka na wajinga wataendelea kuwa wajinga tena this time mjinga atahenyeka sana.Usitegemee eti mabadiliko yanayohubiriwa basi watu watakula mana kama wana wa Israel la hasha. There is price and sacrifice in that so usiichukulie powa sana
Sikubaliani na wewe ila ngoja nikusaidie kitu;
Unajua maana ya "phobia"? Inamaanisha uwoga wa kitu fulani.
Unavosema mzee mwapachu anapenda aonekane mzungu halafu unasema "uzungu-phobia" unakosea. Wewe ulitaka kusema "UZUNGU-PHILIA"!
Haya , edit pale halafu ndo nianze kukupinga! Na kukufundisha ugonjwa unaoitwa "Vitiligo" unaosababisha ngozi kuwa nyeupe na yenye mabakabaka.
Jinga kabisa wewe! ELIMU, ELIMU, ELIMU!
Hii elimu yangu niliyopewa unayosema kuwa ni duni mbona ndiyo hiyohiyo ya Mwapachu anaeongea kiingereza kizuri? Namaanisha ni elimu ya chama tawala, kwa hiyo nakushauri tu kwamba maisha ni akili yako tu kichwani kama ulivoona utafauti wangu wa kiingereza kati yangu na Mwapachu wakati wote tumepewa elimu na CCM, so hata ikiingia CHADEMA ni hivo hivo wenye akili wataendelea kuneemeka na wajinga wataendelea kuwa wajinga tena this time mjinga atahenyeka sana.Usitegemee eti mabadiliko yanayohubiriwa basi watu watakula mana kama wana wa Israel la hasha. There is price and sacrifice in that so usiichukulie powa sana
Ukisema -phobia maanake anakichukia kitu tajwa. Uzunguphobia maanake anachukia uzungu. Ulipaswa kutumia -philia yaani uzunguphilia.
-phobia (chukia)
-philia (penda)
Asante kunisahihisha.Wengine lugha ya mkoloni wa kiingereza inatusumbua.Nimeandika Mwapachu ana Uzunguphilia ndio maana anapenda kujipaka mkorogo
Hivi anadhani sisi wapiga kura hiyo lugha yake tunaielewa, katusomesha?
Lowassa ni Fisadi na hatakaa aache ufisadi.
Mkuu umejibu vizuri, hakuna wakati unaoenda kuwa mgumu kama baada ya uchaguzi,
1. Kama CCM watapita, watatka kurudisha gharama za uchaguzi ambazo zimekuwa mara 3 zaidi ya kipindi kingine chote cha uchaguzi, miradi ya wachina itaongezeka mjini hapa maana familia kuu itaendelea kushika hatamu kwenye hizi biashara. Sina uhakika kama kweli Magu anaweza kuzuia chochote, ukute na yeye ataingia huko kama watangulizi wake.
2. Kama upinzani utapita, kuna kurudisha gharama za uchaguzi, hapa ni kwa Lowassa na marafiki zake (anaosema ndo wanamdhamini), kuna kutaka kurudisha deal alizonyanganywa na Familia ya Mkuu kupitia kwa Rizimoko baada ya kuondolewa kwenye system, marafiki zake watataka nao wapate tenda mbali mbali ikiwamo kujineemesha na hii rasilimali mpya (gas) ambayo inatutoa macho, lakini pia watu kama Mbowe watakuwa kwenye system na tutaanza kuona nyota nyota sasa.
Mimi kwa utabiri wangu naiona miaka mitano ya ukame Tanzania kwa yeyote atakayeingia madarakani, kodi zitaongezeka, bei za vitu zitapanda, hela yetu itaendelea kushuka thamani, ajira zitakuwa ngumu, na mengineyo.
So, tujipange.
Karibu! Kuna ugonjwa unaitwa "Vitiligo" unasababisha mabaka-mabaka meupe kwenye ngozi. "Kisukari" pia huweza kusababisha kitu hiki. Magonjwa haya humpata mtu sio kwa sababu ya mkorogo bali kwa vyanzo vingine. Naomba u-google magonjwa haya ili uelewe vizuri.
Kwa hio usikimbilie kusema ni mkorogo kumbe mwenzako anaumwa!
Huna adabu wewe..kwani kizungu ndio kusomaa?CCM imewashika pabaya sana...mtakunya hadharani sasa
he is a fat cat writing to fat cats. can he be another old wieldbeast seeking green pastures? may be but he seems to be in perpetual green grasses.Juma Mwapachu is a 73 year old man who is only known in top government official circles.He is not known by CCM members.So we don`t even feel his absence.What he has written has no weight in the hearts of many Tanzania voters because they don`t know him or his high life living styles.
Asante kwa tahadhari. Ila hakuna nchi iliofanikiwa kiuchumi bila kuumia. No pain no gain.
Of course you are too green a rookie and void of gray matter upstairs to understand the calibre of a person like Ambassador Juma Volter Mwapachu; a notable who is who in Tanzania business community and the international diplomatic fraternity; you are dismissed with the contempt that you deserve. bs