the locksman
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 1,102
- 355
Natoa salaam zangu kwa members na wamiliki wa JF. Ni jukwaa zuri sijawahi kuona hapa TZ.
Nakumbuka tulivopata taabu pale ilipokosekana hewani siku chache zilizopita.
Naomba members tupunguze utani humu ndani, kuna tofauti kubwa kati ya facebook na JF.
Wengine wataongezea yanayo wagusa kudumisha heshima ya JF.
Nakumbuka tulivopata taabu pale ilipokosekana hewani siku chache zilizopita.
Naomba members tupunguze utani humu ndani, kuna tofauti kubwa kati ya facebook na JF.
Wengine wataongezea yanayo wagusa kudumisha heshima ya JF.