Kwakweli muonekano hauvutii.INAWEZA KUWA NZURI ILA SIJAPENDA MUONEKANO WAKE
Ni kweli, lakin sasa isn't about how it's look. It's about a technology iliyopo ndani ya gari, kwa maana kwamba ikitengenezwa kwa ajili ya matumizi basi hakuna gari itaifikia kwasasa hata kidogo duniani kwa upande wa technology ya kisasa na comfortability ya hali ya juu kwa dereva na abiliaMimi naiona kama passo iliyochangamka hanishtui
Upo sahihi but labda kama ina paa hiyo gari....Ni kweli, lakin sasa isn't about how it's look. It's about a technology iliyopo ndani ya gari, kwa maana kwamba ikitengenezwa kwa ajili ya matumizi basi hakuna gari itaifikia kwasasa hata kidogo duniani kwa upande wa technology ya kisasa na comfortability ya hali ya juu kwa dereva na abilia
Hizi concept cars huwa zinachekesha sana! Hii gari ama sabuni ya GiV?Sina mengi.. chombo ndo kama kilivyo hivyoView attachment 1990223View attachment 1990224