Malaika-Hakika
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 238
- 231
Habari wadau kama kichwa kinavyoongea hapo juu nahitaji kununua hilo gari,litahitaji marekebisho madogo maana limekaa mahali kwa muda mrefu kidogo.Plz nahitaji kujua zaidi kuhusiana nalo kutoka kwa wanaolijua kabla sijaingia kichwa kichwa.Nazungumzia maintenance na gharama nyingine.Nashukuru wakuu🤝🤝🤝