Kwani ye timu Gani huyo 😂😂😂Nilikuwa namponda sana Chica Gee ila hyo siku mechi tu ilivyoisha naingia Jf nakuta ananisubiria kwenye uzi wa aseno , nikamkimbia 😅😅
Kwani ye timu Gani huyo 😂😂😂Nilikuwa namponda sana Chica Gee ila hyo siku mechi tu ilivyoisha naingia Jf nakuta ananisubiria kwenye uzi wa aseno , nikamkimbia 😅😅
Manjesta united 😅Kwani ye timu Gani huyo 😂😂😂
Kumbe ni wale wale mabingwa wa carabao cup 😅😅😅Manjesta united 😅
Ila kwa walivyocheza wiki iliyoisha tusiwakatie tamaa wanaweza kujitahidi wasishuke daraja msimu huu😁Kumbe ni wale wale mabingwa wa carabao cup 😅😅😅
Wamebadilisha kipa sijui kwanini wakati mashabiki tunamtaka onana 😂😂😂Ila kwa walivyocheza wiki iliyoisha tusiwakatie tamaa wanaweza kujitahidi wasishuke daraja msimu huu😁
😅 dah unanipa mtihani kaka,
Na kukutongozea kabisa au ukiitiwa unamaliza mwenyew 😅😅😅
Ni sawa sawa na swali la hesabu umekutana nalo kwenye kiswahili 😅😅 dah unanipa mtihani kaka,
Nimesahau nilifikiri waifu materialUnajimention mwenyewe, au siyo?
Nitauleta weekend wa kukesha nao 😅😅Lete Uzi mpya mama Antipas tukeshe nao
Asante sana kwa uelewa dunia hii inahitaji watu kama weweBeira Boy nipo ndugu yangu, nimeona tusiharibu uzi wa watu kule, kwa kusalimiana 😅 ndiyo maana nimeshindwa kukujibu pale. Majukumu ya hapa na pale tu yalinibana, ila nipo.
Ahsante sana, tuko pamoja 🙏🤝Asante sana kwa uelewa dunia hii inahitaji watu kama wewe
Pole sana kwa majukumu japo kuwa ni lazima kutimiza wajibu na majukumu ni utu
AMINA ubalikiwe sana dada yanguAhsante sana, tuko pamoja 🙏🤝