Bwanaah achana na kuabort na ukimwi nilipewa nilisoma shots na kabla ya hizo nilishaletewagwa na ninazo mpaka leo kaongea yeye pm kwa mtu eti nataka kuweka thread sijui tumseme mwanaume ana ukimwi
mimi huyu nimuwekee thread ya nini sasaa ngoja siku vinipande nitazipost