KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,213
- 56,849
Wenye enzi zao walisema mazoea huanzisha tabia!..
Saikolojia watu huidharau lakini ni swala linalo waathiri wengi sana. Kama ulevi mwengine unavyoanza taratibu mpaka kukolea ndivyo hivyohivyo ulevi wa kuupiga mwingi utakapokolea utakuja kuangamiza nguzo ya uongozi bora ktk taifa hili!.
Endeleeni kuchekea madudu mtu Yale yashibe yawanyee na kila ndani ya akili ya kila mtu hii dhana ikae!,hakuna mahali nchi itashikika.
Kutiana adabu ndio chachu stahiki ya kuleta uwajibikaji,heshima na matokea imara.
Hao watu weupe mnaojikombakomba kwao angalieni hawaruhusu michezo ya ajabu ndani ya nchi zao,ila wanapenda kufanya michezo ya ajabu nje na kwao!..
Upigeni mwingi lakini iwe ni kwa maslahi ya taifa.
Saikolojia watu huidharau lakini ni swala linalo waathiri wengi sana. Kama ulevi mwengine unavyoanza taratibu mpaka kukolea ndivyo hivyohivyo ulevi wa kuupiga mwingi utakapokolea utakuja kuangamiza nguzo ya uongozi bora ktk taifa hili!.
Endeleeni kuchekea madudu mtu Yale yashibe yawanyee na kila ndani ya akili ya kila mtu hii dhana ikae!,hakuna mahali nchi itashikika.
Kutiana adabu ndio chachu stahiki ya kuleta uwajibikaji,heshima na matokea imara.
Hao watu weupe mnaojikombakomba kwao angalieni hawaruhusu michezo ya ajabu ndani ya nchi zao,ila wanapenda kufanya michezo ya ajabu nje na kwao!..
Upigeni mwingi lakini iwe ni kwa maslahi ya taifa.