Lawkeys
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 1,118
- 287
Nina tatizo la Meno.
Meno yangu hayajapangika vizuri, kiasi kwamba yanaathiri muonekano wangu.
Naomba ushauri jinsi ya kurekibisha tatizo hili. Nimeona watu wakiwa wamevaa nyaya kwajili ya kurekebisha tatizo hilo. Hapa Tanzania hiyo huduma inapatikana wapi na gharama gani? Pia, kama kuna alternative nijulisheni.
Ninatanguliza shukrani!
Meno yangu hayajapangika vizuri, kiasi kwamba yanaathiri muonekano wangu.
Naomba ushauri jinsi ya kurekibisha tatizo hili. Nimeona watu wakiwa wamevaa nyaya kwajili ya kurekebisha tatizo hilo. Hapa Tanzania hiyo huduma inapatikana wapi na gharama gani? Pia, kama kuna alternative nijulisheni.
Ninatanguliza shukrani!