Tanzania imeoza inatoa harufu.
Ze Kinana atusaidie kwenye hili..
Una maana ya kwamba "Kaa mbali na tembo" achunguzwe? waapi!
Tanzania imeoza inatoa harufu.
Ze Kinana atusaidie kwenye hili..
Usisahau kuwambea, wamejitoa muhanga. Kuna ambao hawafurahi.Uhalifu ufanywa na sisi wananchi wenyewe, aidha kwa kushiriki kuufanya au kushirikiana na wahalifu kufanikisha uhalifu. Jambo la msingi sio kulaumu kwanini uhalifu unafanywa, ila la msingi ni kwamba tunalo jeshi imara na madhubuti lenye uwezo wa kudhibiti vitendo vya uhalifu nchini.
Nichukue fursa hii kuwapa pongezi za dhati askari polisi waliogundua utoroshwaji wa nyara za serikali, ni jambo la kupongezwa sana.
Tanzania imeoza inatoa harufu.
Ze Kinana atusaidie kwenye hili..
Na huyo askari aliyekamata aliajiriwa na Serikali ya chadema, au sio?
Uhalifu ufanywa na sisi wananchi wenyewe, aidha kwa kushiriki kuufanya au kushirikiana na wahalifu kufanikisha uhalifu. Jambo la msingi sio kulaumu kwanini uhalifu unafanywa, ila la msingi ni kwamba tunalo jeshi imara na madhubuti lenye uwezo wa kudhibiti vitendo vya uhalifu nchini.
Nichukue fursa hii kuwapa pongezi za dhati askari polisi waliogundua utoroshwaji wa nyara za serikali, ni jambo la kupongezwa sana.
You have a point, hata mie nina mshangao.
Mara madawa, mara meno ya tembo within 2/3 days.
Ni vema tukiri kuwa kuna tatizo kubwa sana na wala tusjijaribu kuficha au kutoa utetezi tu.Uhalifu ufanywa na sisi wananchi wenyewe, aidha kwa kushiriki kuufanya au kushirikiana na wahalifu kufanikisha uhalifu. Jambo la msingi sio kulaumu kwanini uhalifu unafanywa, ila la msingi ni kwamba tunalo jeshi imara na madhubuti lenye uwezo wa kudhibiti vitendo vya uhalifu nchini.Nichukue fursa hii kuwapa pongezi za dhati askari polisi waliogundua utoroshwaji wa nyara za serikali, ni jambo la kupongezwa sana.
Azimio la Arusha ni fikra zilizopitwa na wakati katika karne hii tuliyopo. Kama kweli hilo Azimio la Arusha lilikuwa zuri kiasi hicho, ilikuwaje kukawepo uhujumu uchumi nchini?.
Uhalifu kama HUU sio wa WANANCHI ni LOOP HOLES ambazo serikali na VIONGOZI wake ndio wanaochota na kuvuruga NYARA za SERIKALI kwa Manufaa ya Matumbo yao
Mfano MZUNGU aliyeripotiwa na HOUSE GIRL wake; Ni Kiongozi BANDARINI Dar Es Salaam na hicho cheo hakukipata kwa QUALIFICATION alikipata kwa kujua VIONGOZI wa NCHI HII na chama TAWALA; Akapata cheo ili tu aweze kufuja MALI ZA NCHI HII na ZAWADI ni kuwawekea VIONGOZi PESA NJE YA NCHI
IT IS SICKENING; Toka CCM Ilifute AZIMIO LA ARUSHA na kulibadilisha na lile AZIMIO LA ZANZIBAR; Nchi imekuwa haiwezi kutawalika --- Sasa hakuna nguzo kuu TANO KUU za kuwalinda VIONGOZI wetu
Wako free kufanya UCHAFU wowote nchini; Nchi ina MADINI na GAS lakini kinachoshangaza eti kuna KIWANDA cha KUTENGENEZA MADAWA YA KULEVYA
Vijana wengi wa nchi hii wanawekwa kwenye JELA za NCHI za NJE wakati wa UTAWALA HUU kwanini? Sasa Kuna kijana Mmoja yuko JELA HUKO HONG KONG anajuta kwanini SERIKALI MPYA YA CCM iliamua kuvunja AZIMIO LA ARUSHA; Anajuta kwasababu Vijana walikuwa wanapata KAZI wakati huo; Mashirika ya Serikali yalikuwa yanaajiri vijana wengi Mshahara pamoja na kuwa MDOGO ulikuwa unatosheleza FAMILIA kulikuwa hakuna UNYAMA kama sasa...
FIKIRIA ni kwanini VIJANA wengi wanadiriki kufanya hii biashara ya hatari wakati huu kuliko wakati nchi ilipokuwa na USAWA na Siasa za UJAMAA ambazo ZIMETUPWA chooni na AZIMIO LA ZANZIBAR
Azimio la Arusha ni fikra zilizopitwa na wakati katika karne hii tuliyopo. Kama kweli hilo Azimio la Arusha lilikuwa zuri kiasi hicho, ilikuwaje kukawepo uhujumu uchumi nchini?.
Kwa hiyo nchi zote zenye mafanikio zina Azimio la Arusha!!.
Extremely hilarious.
Uhalifu ufanywa na sisi wananchi wenyewe, aidha kwa kushiriki kuufanya au kushirikiana na wahalifu kufanikisha uhalifu. Jambo la msingi sio kulaumu kwanini uhalifu unafanywa, ila la msingi ni kwamba tunalo jeshi imara na madhubuti lenye uwezo wa kudhibiti vitendo vya uhalifu nchini.
Nichukue fursa hii kuwapa pongezi za dhati askari polisi waliogundua utoroshwaji wa nyara za serikali, ni jambo la kupongezwa sana.
Umekula chakula chenye kinyesi maana unaharisha kupita kiasi. Kunywa mafuta ya kenge yatakusaidia kidogo!Na huyo askari aliyekamata aliajiriwa na Serikali ya chadema, au sio?
Na huyo askari aliyekamata aliajiriwa na Serikali ya chadema, au sio?
Utumbo wa kuku huu. Isinge kuwa Dr Harrison Mwakyembe, tungefahamu hili.
Uhalifu ufanywa na sisi wananchi wenyewe, aidha kwa kushiriki kuufanya au kushirikiana na wahalifu kufanikisha uhalifu. Jambo la msingi sio kulaumu kwanini uhalifu unafanywa, ila la msingi ni kwamba tunalo jeshi imara na madhubuti lenye uwezo wa kudhibiti vitendo vya uhalifu nchini.
Nichukue fursa hii kuwapa pongezi za dhati askari polisi waliogundua utoroshwaji wa nyara za serikali, ni jambo la kupongezwa sana.