Pole sana...hizo ndio changamoto za maisha.
Tukirudi kwenye mada husika...umesema umeshaomba AJIRA, FIELD WORK, VOLUNTEER WORK na kote umekosa kwasababu ya tatizo lako right??? Sasa kwanini unakimbilia kukomboa cheti ili urudie kufanya kile kile ambacho umeshindwa kufanikisha kwa muda mrefu??? Je cheti chako kitabadilisha nini??? Kwasababu kama kinachokukosesha hizo nafasi na hali yako....je cheti kitasaidia vipi???
Binafsi ningekushauri mambo mawili....
#1 Acha kulalamika sana kuhusu tatizo lako na kulitumia kujiongezea unyonge. Wewe sio wa kwanza wala wa mwisho kukumbana na changamoto kwenye hii dunia and the sooner you realise that and make peace with it the better!!!
Unamfahamu Wakonta wewe??? Kama umfahama please google her name au mtafute Instagram. Wakonta aligongwa kwenye graduation yake ya form 4 na matokeo yake aliparalyse mwili mzima si mikono,si miguu...which means hawezi ku-move around bila msaada.
Katika hali ya kawaida ungetegemea Wakonta awe mnyonge kupita maelezo ila hana unyonge wowote ndani yake. She is as strong as anyone could ever be. Mpambanaji haswa!!! (This is why I love her) na huwezi amini alipo sasa.
Anyway....my point is, kuna watu ambao situation zao ni much worse than your yours ila mentality yako ya "MNYONGE MIE, MASIKINI MIE" vinakurudisha nyuma na hicho cheti sio tiketi yako ya kupiga hatua kwenda mbele. Una miguu, mikono, akili na macho ambavyo vyote vinafanya kazi sawia...BE GREATFUL!!!!!
#2 Achana na swala la kuajiriwa kwasababu umeshaona sio swala rahisi kutokana na uelewa wetu waswahili kuwa mdogo. Badala yake fikiria KUJIAJIRI!!! Either tumia elimu yako kianzisha kitu chako mwenyewe au tumia talanta nyinginezo ulizonazo uanze biashara yako mwenyewe.
Narudia tena...msome Wakonta, pamoja na changamoto alizonazo yeye bado ameweza kufungua biashara yake, ni ambassador wa vitu mbali mbali na anaishi kwake pazuri (she pays her own rent and what not)....sasa kwanini wewe ushindwe????
Punguza kulalama na kulaumu then pambana utashangaa mwenyewe jinsi ambavyo utafanikiwa.