Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
- Thread starter
- #61
Mkuu sishangai kuona wanayanga hawapendi simba ashinde ila nashangaa mnavyotokwa mapovu kuonyesha kuwa simba anabebwa.. Hivi kwa hapa bongo kuna timu inayobebwa kama vyura fc? Kuna maamuzi mabaya ya refa ya kumfikia mwamuzi wa yanga na simba walipokuta au yanga na castal union pale tanga? Kuna timu inayopenda point za mezani kama yanga? Hata kama mnaona mkifungwa mnadhalilisha chama ila msizidishe kununua matokeo... Kama mngekuwa na timu ya maana basi kule caf mngetolewa kwa idadi ya magoli ya nyumbani na ugenini... Simba ni kweli haichezi kwa kiwango kizuri ila si kwamba ndo ukatae magoli halali kisa simba kashinda.. Mbona husemi penat mnazowekewa na mnakosa ingekuwa simba sijui mngesemaje