Mengi na Makamanda wa Ufisadi kutua Nzega J'mos Hii

SIsi Watanzania kutakuwa watazamaji mpaka lini. Lazima tuungane katika kuunga mkono Harakati hizi
 
SIsi Watanzania kutakuwa watazamaji mpaka lini. Lazima tuungane katika kuunga mkono Harakati hizi

Ndugu yangu, tutakuwa watazamaji tu hadi siku tupigane kwani mkuu wa kaya mambo yanamshinda kabisa. Serikali yake inashindwa hata kukemea zilw waraka mbili za kidini zilizotolewa, ingawa SMZ imeshafanya hivyo! Hatuna Rais!

Kuhusu hili la Mengi na makamanda wa ufisadi sijui iwapo mkuu wa kaya anawaunga mkono. Angekuwa rais mwenye msimamo na kweli anapiga vita ufisadi kwa dhati, angepaswa kuwaunga mkono publicly na kuwataka wengine waige mfano huo. Anashindwa kufanya hivyo kwani naye yumo.

Na tazama magazeti ya RA ya kesho -- utaona jinsi yatakavyoandika kuhusu tukio hilo la Nzega. Wahariri wake na hata wa baadhi ya magazeti wameshaandaliwa kupotosha mambo na kusema uongo. na pamoja hayo vurugu dhidi ya kikundi hicho zilikuwa zinasukwa -- kwa kutumia mapesa. SOMENI KESHO!!!!
 
Nimekuwepo Nzega kwa shughuli hii. Hakika makamanda wamefanya kazi ya kutisha Nzega,sidhani kama Mafisadi watalala leo. Nahapa ndo orodha ya makamanda hawa
REGNALD MENGI
DR.MWAKYEMBE
CHRISTOPHER SENDEKA
NAPE NNAUYE
JAMES LEMBELI
BETRICE SHELUKINDO
LIKOKOLA
SELELI(MWENYEJI)
Na baadhi ya waandishi wa habari.
Kwahakika wamerusha makombora ya kutisha,na habari nilizo nazo kibaraka wao Nzega,yule Msomali analalamika sana Nzega na sana anamlalamikia Nape,kijana mwenzake. Lakini kasahau yeye alivyompiga Nape wakati aliposema juu ya jengo la UVCCM! Ama kweli mkuki kwa Nguruwe!.........
 
Makamanda wa anti-fisadi, tupo pamoja

"Anti-Fisadi" campaign is on overdrive, who knows what will happen in 2010!?
 
kwa kifupi sana, kulisambazwa makaratasi...(inaaminika mkakati wa makaratasi hayo ulipangwa na kambi ya mafisadi).... Karatasi zilikuwa zikidai kuwa VICOBA ni mradi/biashara ya Mengi na Likokola na ilimponda Seleli kuwa kachukua posho za bunge kwa miaka mingi alizitunza pesa hizo ndo anarudisha kwa wenyewe na mengine mengi ya ajabu. Nadhani hii ndo iliwasha hasira ya makamanda hawa
 
aliyeanzisha mashambulizi ni Mpendazoe,huku akiutwa mzee wa mbuyu, alidai vita dhidi ya ufisadi haina mwisho na watapigana mpaka tone la mwisho. Akadai katika makamanda Seleli ni kamanda hodari na jasiri.... Akatoa wito
Kwa wanachi kuwaunga mkono wapambanaji ili kuwatia nguvu na hasa Spika Sita!
 
Nimekuwepo Nzega kwa shughuli hii. Hakika makamanda wamefanya kazi ya kutisha Nzega,sidhani kama Mafisadi watalala leo. Nahapa ndo orodha ya makamanda hawa
REGNALD MENGI
DR.MWAKYEMBE
CHRISTOPHER SENDEKA
NAPE NNAUYE
JAMES LEMBELI
BETRICE SHELUKINDO
LIKOKOLA
SELELI(MWENYEJI)
Na baadhi ya waandishi wa habari.
Kwahakika wamerusha makombora ya kutisha,na habari nilizo nazo kibaraka wao Nzega,yule Msomali analalamika sana Nzega na sana anamlalamikia Nape,kijana mwenzake. Lakini kasahau yeye alivyompiga Nape wakati aliposema juu ya jengo la UVCCM! Ama kweli mkuki kwa Nguruwe!.........

Ni kweli, baadhi ya waandishi wa habari. Wako waandishi wa habari na wahariri ambao ni shujaaa katika mapambano haya -- tena kwa kujitolea tu. Na wako walionunuliwa na kazi yakubwa ni kulamba ****** ya hao mafisadi.

Na hili la vipeperushi vilivyomwagwa huko Nzega kuwapinga mashujaa hao ni kazi ya yule Msomali wa habari Corporation ambaye anadanganywa na RA kwamba atakichukua kiti cha Selelei kwa njia za hongo na ghilba nyingine.

Kwa hili RA hatafanikiwa kama vile anavyoshindwa katika harakati nyingine nyingi tu za kutaka kujiokoa na wizi alioufanya -- na hadi sasa tunasikia ni mguu moja ndani na mwingine nje.

Kama siyo rafiki yake JK anayemlinda naye angekwenda kula dona kule Keko kama vile wizi wenzake akina Mramba. Lakini iko siku INSHALLA, wananchi watamtia ndani.
 
nashauri waunde chama chao wajitoe CCM

CCm kama chama kilichoanzishwa na watu waadilifu ni chama chenye nia njema na nchi hii; misingi yake ni ya usawa na upendo.Chama hiki kilikuwa ni chama cha wakulima na wafanyakazi wakati wote wa uhai wake mpaka pale viongozi wakuja walipolizika azimio la Arusha na kuruhusu chama kitawaliwe na wafanyabiashara na wenye fedha ambao wengi wao ni WABAKAJI WA UCHUMI WA NCHI!! Kimsingi ccm na malengo yake kama yalivyoanishwa na waasisi wa chama ni kuwa kitapigania haki za wanyonge na kuwaletea maendeleo; hivyo basi watu wasiotakiwa kuwa wanachama wa CCM ni hao wanaowahujumu maendeleo ya wananchi kwa manufaa yao na familia zao i.e. MAFISADI. Hawa mafisadi ndio wanaokichafua chama hivyo basi wanastahili kuondolewa ili wakaanzishe chama chao cha kifisadi na kuwaacha wanaccm wa kweli wanaochukia ufisadi kukiimalisha chama chao. Inashangaza kuona kuwa siku hizi hakuna wanachama shupavu kama wakina marehemu Rajab Diwani, Mtandika na wengine wengi ambao walikuwa na ujasiri wa hata kumwambia mwalimu kuwa KAMA HUWEZI KAZI RUDISHA FUNGUO ZA OFISI TUTAMCHAGUA MWINGINE!! Leo hii nani anaujasiri wa kumwambia Kikwete kuwa anakiyumnbisha chama kwa kuwakumbatia mafisadi hivyo anakidhoofisha chama kwahiyo anastahili kujiuzuru? Kikwete amekikuta chama na kama wenyeviti waliomtangulia atakiacha hapo alipokikuta ,lakini asiruhusiwe kukiharibu kwa kuwakumbatia mafisadi.
 
Unamzungumzia yule kijana wa kisomali !,Zyansiku hacha ushabiki maandazi.Hivi Tanzania tuna uhaba wa viongozi mpaka tuwape uongozi wasomali walioshindwa hata kujitawala.Hapana nakataa imefika mahali watanzaia kuwaambia wageni wafanye kila kitu lakini siasa watuachie wazawa.

Wiki ijayo nitakuwa Morogoro mji kasora bahari kutoa somo la uraia ili waachane na kasumba ya kutulea wahindi wachovu pale mjengoni.Nikitoka huko nitapitia Tabora kuendeleza elimu ya uraia kwa wapiga kura wasimchague yule miran Rostam Azziz.
Tupo pamoja na MUNGU yupo kati yetu haki kieleweke!
The art of being wise is knowing what to overlook
 
Tupo pamoja na MUNGU yupo kati yetu haki kieleweke!
The art of being wise is knowing what to overlook


Unamzungumzia yule kijana wa kisomali !,Zyansiku hacha ushabiki maandazi.Hivi Tanzania tuna uhaba wa viongozi mpaka tuwape uongozi wasomali walioshindwa hata kujitawala.Hapana nakataa imefika mahali watanzaia kuwaambia wageni wafanye kila kitu lakini siasa watuachie wazawa.

Wiki ijayo nitakuwa Morogoro mji kasora bahari kutoa somo la uraia ili waachane na kasumba ya kutulea wahindi wachovu pale mjengoni.Nikitoka huko nitapitia Tabora kuendeleza elimu ya uraia kwa wapiga kura wasimchague yule miran Rostam Azziz.

mbona sera ya CCM inasema wahindi na wasomali ni ndugu?
 
hakuna cha huyu mengi wala why tabora kila mara lazima kundi fulani lifanye hivi la sivyo tutabaki tunaendelea kutawaliwa tu kama vijindege kwenye tundu.nimefurahi sana kuona hili kundi limejiunga japolkuwa na vitisho vilivyotolewa kwao ni safi sana kwamba kuna watu wanaosikika wameamua kutetea haki za wanyonge.hii itawapa moyo watu wengi kujitokeza kujaribu kupinga swala la ufisadi.
 
All that have beginnings have ends. My fellow Tanzanians, don't be surprised with what is currently happening within CCM, it is an indication that the end is approaching. Remember, every death has a cause or reason; the cause of the end of CCM is the ongoing disunity within the party. To be precise, it is the failure of some elite members within the party to recognize the fact that they are good "MAFISADI". The worst part of it is that Tanzanians know this fact. The time for Tanzanians to react is yet to arrive, BUT the signs for its arrival are clear. MENGI, KILANGO, MWAKEMBE, MNAUYE, SELELI, LEMBELI, SENDEKA, SHELUKINDO, LOKOKOLA, AND MANY MORE.... are the signs of arrival of the time for Tanzanians in their totality to react.
 
Mungu yu pamoja nasi! Naamini kabisa kwa rehema zake tutashinda vita hii. Maadui wote wa taifa hili wataangamia mmoja baada ya mwingine. Msiwe na wasiwasi makamanda wetu, umma wote wa Watanzania upo nyuma yenu. Ujumbe kwa mafisadi: Mkitaka kujua nguvu ya umma wa Watanzania, jaribuni kumdhuru kwa namna yoyote mmoja wa makamanda wetu. Mmewachokoza Watanzania sasa moto unawawakia.
 
pamoja na sala tuweke na vitendo jamani, kila mtu ktk sehemu alipo ajaribu kutoa msaada wowote utakao wezesha vita dhidi ya fisadis inaendelea bila ukomo. Kama wewe ni mwandishi wa habari jaribu kufukunyua uozo wote na weka hadharani, kama wewe ni mwalimu hakikisha wanafunzi wanaelewa nini maana ya ufisadi/wizi wa mali ya umma na upendeleo usiojali sifa, kama wewe ni mhandisi basi hakikisha kampuni feki kama richmond hazipati nafasi nchini n.k.
 
Waheshimiwa wana wa Nchi! sisi wakazi wa Nzega tumekuwa kwa muda mrefu tukisubiri mamilioni toka kwa bwana Mengi kama ambavyo tumekuwa tukiahidiwa mara kwa mara, tulipopata taarifa za ujio wa Bwana mengi Nzega tukaamini kuwa kwa kiasi fulani tutaweza kupambana na umaskini tukaanza kutekeleza yafuatayo kwa maelekezo ya Mama doto ambaye ndiye mratibu wetu wa VICOBA Nzega. mchango wa mapokezi ya ujio wa Mengi na makamanda wa ufisadi kwa kila mwana kikundi 20,000/= kiingilio cha uanachama 12,000/= sare kanga 6000/=,tshirts 6000/= hivyo kila mjumbe amejitolea Tshs 44,000/=
kwa kiasi cha milioni 100 alizoahidi kuzitoa Mengi kwa vikundi 80 ambapo kila kikundi kina wanachama wasiopungua 20 mgao wa fedha hizo za VIKOBA hautazidi 48, kwa kila mwana kikundi, mmetuumiza mno! ninapo sema mno nina maana ya mno kingine ambacho ni kibaya sana kikundi ambacho chaweza kunufaika kidogo ni kile cha mama Selelii ambacho kutokana na kuwa karibu na Mh Mb chaweza kupata fedha isiyopungua M30 je ni kweli kwamba tuamini ujio wa Mengi na makamanda wa ufisadi nzega madhumuni yake makuu ni kupigana na umasikini au kutuletea umaskini? jambo lingine ambalo inawezekana lisiwe na maana sana kwa mchango huu ni pale nilipomsikia Nauye Jnr na mheshimiwa wa Simanjiro wakisema bashe wa Nzega asichaguliwe eti kwa kuwa ana uraia wa kuandikishwa,Nape usiende hivyo tuna kutegemea sana katika mabo mengi hasa ya Uvccm unapoanza kuhubiri Siasa za ubaguzi huo hata baba yako huko aliko nadhani anatoa machozi sidhani kama katika uhai wake Mzee nauye aliwahi kuwakana kina Amir Jamar,Shamim Khan,Salim A Salim na wengine wengi tumekuwa na A. Kinana kwenye NEC kwa miongo kadhaa. pole sana Nape yawezekana matamshi yale yalikutoka ili uendelee kupata mkate wako w kila siku kwa RM maana wahenga walisema maradhi yote ugua kuchacha usiombe!
 
Waheshimiwa wana wa Nchi! sisi wakazi wa Nzega tumekuwa kwa muda mrefu tukisubiri mamilioni toka kwa bwana Mengi kama ambavyo tumekuwa tukiahidiwa mara kwa mara, tulipopata taarifa za ujio wa Bwana mengi Nzega tukaamini kuwa kwa kiasi fulani tutaweza kupambana na umaskini tukaanza kutekeleza yafuatayo kwa maelekezo ya Mama doto ambaye ndiye mratibu wetu wa VICOBA Nzega. mchango wa mapokezi ya ujio wa Mengi na makamanda wa ufisadi kwa kila mwana kikundi 20,000/= kiingilio cha uanachama 12,000/= sare kanga 6000/=,tshirts 6000/= hivyo kila mjumbe amejitolea Tshs 44,000/=
kwa kiasi cha milioni 100 alizoahidi kuzitoa Mengi kwa vikundi 80 ambapo kila kikundi kina wanachama wasiopungua 20 mgao wa fedha hizo za VIKOBA hautazidi 48, kwa kila mwana kikundi, mmetuumiza mno! ninapo sema mno nina maana ya mno kingine ambacho ni kibaya sana kikundi ambacho chaweza kunufaika kidogo ni kile cha mama Selelii ambacho kutokana na kuwa karibu na Mh Mb chaweza kupata fedha isiyopungua M30 je ni kweli kwamba tuamini ujio wa Mengi na makamanda wa ufisadi nzega madhumuni yake makuu ni kupigana na umasikini au kutuletea umaskini? jambo lingine ambalo inawezekana lisiwe na maana sana kwa mchango huu ni pale nilipomsikia Nauye Jnr na mheshimiwa wa Simanjiro wakisema bashe wa Nzega asichaguliwe eti kwa kuwa ana uraia wa kuandikishwa,Nape usiende hivyo tuna kutegemea sana katika mabo mengi hasa ya Uvccm unapoanza kuhubiri Siasa za ubaguzi huo hata baba yako huko aliko nadhani anatoa machozi sidhani kama katika uhai wake Mzee nauye aliwahi kuwakana kina Amir Jamar,Shamim Khan,Salim A Salim na wengine wengi tumekuwa na A. Kinana kwenye NEC kwa miongo kadhaa. pole sana Nape yawezekana matamshi yale yalikutoka ili uendelee kupata mkate wako w kila siku kwa RM maana wahenga walisema maradhi yote ugua kuchacha usiombe!
M-Bongo;
Hujipendi ndiyo maana hupendi Nchi yako. Kumbuka kuwa kwenye nchi kama hizo zao wewe ni kama panya; kwa hiyo cha kwanza lazima umpongeze sana Nape kwa kujipenda yeye na Nchi yake,

Vile vile pole sana kwa kusubiri hizo millioni ili uondoe umasikini; hivi na akili zako zote ulifanya mkakati kuzinasa hizo pesa! Advise: Fanya kazi kwa nguvu, acha siasa uchwara - utafanikiwa. Jiondoe kwenye hizo Payroll!
 
Kwikwiwkiw CCM mmeanza kuamka sasa . Mara mle pilau mara vile sasa leo mnalia na vicoba hahahah . CCM ama kweli ni kapu la wajanja .Wache waendelee kuuwasha moto mwakani si mbali walahi tuombe uzima.
 
Mengu mjanja kagundua mtalala mbele na mapesa yake kabonyea kwanza hahahaha .Naye anafanya biashara unadhani anatania ?
 
Hakuna cha bure fanya kazi na jitume, mambo ya kutegema watu hayasaidii. Hao kina Mengi na genge lake kamba tu siasa kwa kwenda mbele hakuna kitu hapo
 
Waheshimiwa wana wa Nchi! sisi wakazi wa Nzega tumekuwa kwa muda mrefu tukisubiri mamilioni toka kwa bwana Mengi kama ambavyo tumekuwa tukiahidiwa mara kwa mara, tulipopata taarifa za ujio wa Bwana mengi Nzega tukaamini kuwa kwa kiasi fulani tutaweza kupambana na umaskini tukaanza kutekeleza yafuatayo kwa maelekezo ya Mama doto ambaye ndiye mratibu wetu wa VICOBA Nzega.

pole, hamu ya kujikwamua kutoka kwenye umasikini ni ya kila mmoja. Hata hivyo mpambanaji ni wewe na si mwingine. Dumisheni hivyo vikundi vyenu mtafanikiwa. Mengi kisha toa hayo mamilioni japo mnadhani ni kidogo ila mnaweza kuyatumia kwa manufaa.

mchango wa mapokezi ya ujio wa Mengi na makamanda wa ufisadi kwa kila mwana kikundi 20,000/= kiingilio cha uanachama 12,000/= sare kanga 6000/=,tshirts 6000/= hivyo kila mjumbe amejitolea Tshs 44,000/=

Ninyi mpo kwenye vita dhidi ya umasikini, mnatafuta mitaji sasa iweje mnaandaa masherehe? T-shirt na kanga za nini? Nani aliwaambia mnunue? mlinunua kwa nani? Unapoamua kupambana na umasikini acha starehe, acha kutumia pesa kwa mambo yasiyo ya msingi.

Kuhusu kiingilio cha mwanachama hizo pesa haondoki nazo Mengi wala hao makamanda wa ufisadi. Hizo ni pesa za kikundi chenu na mnaweza kufuatilia matumizi yake kwa mujibu wa katiba na taratibu zenu.

kwa kiasi cha milioni 100 alizoahidi kuzitoa Mengi kwa vikundi 80 ambapo kila kikundi kina wanachama wasiopungua 20 mgao wa fedha hizo za VIKOBA hautazidi 48, kwa kila mwana kikundi, mmetuumiza mno!

Millioni 100 siyopesa kidogo ndugu yangu. Wewe hapo Kijijini na kikundi chako mnauwezo gani hadi kudharau mchango wa 100,000,000 kutoka kwa mtu mmoja? Halafu unazigawa pesa za kikundi hazigawanwyi! ndo maana mmeungana ktk vikundi ili kidogo kidogo kiwe kingi. Huko Nzega mnamatatizo ninyi.

ninapo sema mno nina maana ya mno kingine ambacho ni kibaya sana kikundi ambacho chaweza kunufaika kidogo ni kile cha mama Selelii ambacho kutokana na kuwa karibu na Mh Mb chaweza kupata fedha isiyopungua M30 je ni kweli kwamba tuamini ujio wa Mengi na makamanda wa ufisadi nzega madhumuni yake makuu ni kupigana na umasikini au kutuletea umaskini?

Hili ni jungu tu, eti kikundi kitapewa 30M kwa sababu mama Seleli. We ndugu unamatatizo, huna spirit ya umoja, hujiamini,, huwaamini wengine sasa mtaendeleza vipi hivyo vikundi kwa namna hiyo?

Tuseme kwamba tatizo la mkakati huu ni siasa. Kunapotokea mpango mzuri wa kujikwamua na umasikini ukiingiliwa na siasa basi tena. Ona sasa hata mazuri ya mradi huyaoni kwasababu ya maneno ya Nape. Siasa ndo inaiharibu VICOBA.
 
Back
Top Bottom