Makamanda wa Ufisadi, (Wabunge wa CCM) na Bw Regnald Mengi wanatarajiwa kutua Nzega Jumamosi ya wiki hii na kupokewa kwa maandamano na shamra shamra kubwa zitakazoambatana na burudani kede kede
Aidha msafara huo unatarajiwa kuwa na makamanda wa Ufisadi ambao ni Dr Mwakyembe, Sendeka, Kimaro, Kilango, Aziza Ally, Lembeli, Nkumba, Selelii (Mwenyeji wa ugeni) na wengine ambao sijapata taarifa zao.
Chanzo cha habari kinasema kuwa maandalizi yote yameshakamilika ikiwa ni pamoja na utaratibu wa kukabidhi Hundi ya zaidi ya M150 kwa vikundi vya ujasiria mali 80 ambavyo kila mwana kikundi atajinyakulia kiasi cha Tshs 60,000/= ili kujikwamua na umaskini.
I wiil B there!
Welcome Mengi, welcome makamanda wa ufisadi Nzega!
Aidha msafara huo unatarajiwa kuwa na makamanda wa Ufisadi ambao ni Dr Mwakyembe, Sendeka, Kimaro, Kilango, Aziza Ally, Lembeli, Nkumba, Selelii (Mwenyeji wa ugeni) na wengine ambao sijapata taarifa zao.
Chanzo cha habari kinasema kuwa maandalizi yote yameshakamilika ikiwa ni pamoja na utaratibu wa kukabidhi Hundi ya zaidi ya M150 kwa vikundi vya ujasiria mali 80 ambavyo kila mwana kikundi atajinyakulia kiasi cha Tshs 60,000/= ili kujikwamua na umaskini.
I wiil B there!
Welcome Mengi, welcome makamanda wa ufisadi Nzega!