Mengi na Makamanda wa Ufisadi kutua Nzega J'mos Hii

Tatizo la bongo ukijitoa wanaanza kukuanzishia zengwe tena usipoangalia wanakuwangwe.
Huleee makamanda pamabaneni mumo kwa mumo mpaka kielweke!
Ila isije ikawa nguvu ya SODA,keep it up nguvu ya wananchi iko nyuma yenu
 
Tusubiri tuone maana hata pengo alisema kuna makamanda wa kweli na wanafiki hasa baadhi yao kuwa waoga kama vile mh Aziza kama atafika nzega
 
Kweli kimbunga cha JF kinakwenda kwa kasi ya ajabu! Mafundi Baiskeli Nzega kama nao wanaingia humu naamini 2010 ujumbe (hoja za JF) utakuwa umesambaa nchi nzima.
Zyansiku, kamanda hakikisha kila anayekuja kutengeneza baiskeli asitoke hivihivi, mpe salama za JF ili BAISKELI YAKE NA UBONGO WAKE VYOTE VIPATE MAINTENANCE

Natamani sana kuwa-join wapiganaji hawa huko Nzega ili nisaidie kuwasha moto dhidi ya mafisadi, lakini nipo bize na mitihani hivi sasa. Wenzetu mlioko Nzega msikose kutuhabarisha kitakachoendelea huko! Imarisheni ulinzi pia kwa wapiganaji wetu.
 
On their way back can they Stop at Igunga wafanye kama waliyofanya huko Nzega!

Mkuu Masanilo mbona wewe mchokozi pale Igunga Rostam huwa anapita bila kupingwa kwa jinsi alivyowaletea wananchi wa Igunga maendeleo.Fedha za EPA na KAGODA Rostam anawapatia patia wapiga kura wake sasa wakimtema watapata wapi vijisenti.

Chonde chonde makamanda wa ufisadi kama nilazima kupita hapo Igunga chungeni kauli zenu msije kuvuliwa uanachama wa chama chetu kitukufu.Simnajua jamaa ana nguvu sana NEC na CC na muungwana kaamua kuunga mkono kundi lao au mnajifanya hamjui.Mzee Mengi angalia sana jamaa wa TRA watatumwa kwenye biashara kukumaliza usijeanza kupiga kelele unaumizwa.
 
Safi hiyo.

Ila wasiishie kwenye sherehe na kutoa misaada tu, bali watoe pia somo fulani la ELIMU YA URAIA kwa wananchi wa huko ili wajue jinsi ya kuchagua kiongozi bora, siyo kudanganywa na pilau, t-shirt, kanga na vinywaji.

Muhimu wakumbUshwe kuwa KUPIGA KURA NI SIRI, NA MPIGA KURA UNAKUWA PEKE YAKO KWENYE CHUMBA CHA KUPIGIA KURA.
 
Watanzania kwa ujinga tunaongoza; Mengi si akawawezeshe wale wafanyakazi wake ambao anawalipa chini ya kima cha chini?

Mengi hana hizo pesa na biashara zake zinaenda mrama. Huko Nzega mtaishia kupigwa na jua tu mkisubiri pesa za Mengi.

Kuna sehemu aliwaahidi kuwachangia milioni 300 kwa ajili ya bank ya vikoba na ameshindwa hata kutoa senti tano.

Pesa inapatikana kwa kuchapa kazi, kuwajibika. Msitegemee hata siku moja kuangukiwa na mapesa kutoka kwa mtu yeyote.

Watu wanatumia ujinga wa Watanzania kupenyeza pesa chafu wakati wa uchaguzi. Kumbuka yule Manji alivyomwaga mapesa wakati wa uchaguzi baada ya hapo kazi yake kunyanyasa wafanyakazi kwenye viwanda vyake. Mtaelemika lini?

Makamanda wa Ufisadi, (Wabunge wa CCM) na Bw Regnald Mengi wanatarajiwa kutua Nzega Jumamosi ya wiki hii na kupokewa kwa maandamano na shamra shamra kubwa zitakazoambatana na burudani kede kede

Aidha msafara huo unatarajiwa kuwa na makamanda wa Ufisadi ambao ni Dr Mwakyembe, Sendeka, Kimaro, Kilango, Aziza Ally, Lembeli, Nkumba, Selelii (Mwenyeji wa ugeni) na wengine ambao sijapata taarifa zao.

Chanzo cha habari kinasema kuwa maandalizi yote yameshakamilika ikiwa ni pamoja na utaratibu wa kukabidhi Hundi ya zaidi ya M150 kwa vikundi vya ujasiria mali 80 ambavyo kila mwana kikundi atajinyakulia kiasi cha Tshs 60,000/= ili kujikwamua na umaskini.

I wiil B there!

Welcome Mengi, welcome makamanda wa ufisadi Nzega!
 
Watanzania kwa ujinga tunaongoza; Mengi si akawawezeshe wale wafanyakazi wake ambao anawalipa chini ya kima cha chini?

Mengi hana hizo pesa na biashara zake zinaenda mrama. Huko Nzega mtaishia kupigwa na jua tu mkisubiri pesa za Mengi.

Kuna sehemu aliwaahidi kuwachangia milioni 300 kwa ajili ya bank ya vikoba na ameshindwa hata kutoa senti tano.

Pesa inapatikana kwa kuchapa kazi, kuwajibika. Msitegemee hata siku moja kuangukiwa na mapesa kutoka kwa mtu yeyote.

Watu wanatumia ujinga wa Watanzania kupenyeza pesa chafu wakati wa uchaguzi. Kumbuka yule Manji alivyomwaga mapesa wakati wa uchaguzi baada ya hapo kazi yake kunyanyasa wafanyakazi kwenye viwanda vyake. Mtaelemika lini?

Bambumbile,

Mengi ana mapesa mengi tu machafu ambayo amepewa siku za karibuni kwa ajili ya uchaguzi wa 2010.

Hizo pesa sehemu kubwa ni kwa ajili ya upinzani na baadhi ya wabunge wa CCM. Inasemekana zimetoka kwa wafadhili ambao wameogopa kutoa moja kwa moja kwenye vyama vya siasa kwasababu ya kuogopa serikali. Badala yake wameingiza pesa nyingi kwa Mengi kupitia NGO zake ili kufanikisha hilo lengo.

Kati ya sasa mtaona hizo pesa zikigawiwa sehemu mbalimbali. Sitashangaa Mengi akizikomba nusu ya haya mabilioni. Ile ilikuwa EPA na CCM (Rostam). Hii sijui tutaita nini?

Ila serikali ina taarifa na inaangalia kwa karibu kinachoendelea. Vinginevyo Mengi hana faida kwenye biashara zake ya kuweza kumpatia faidi ya hayo mabilioni ya kumwaga. Hiyo ndio taarifa yenyewe toka kwa wazee wa kazi.
 
Last edited:
Pole kabonde! No matter mhindi au mwarabu the issue is content! ubaguzi huo unaotaka kuuhubiri hautatufikisha popote, hii inaanza kuthaminisha kuwa hata Zito kuenguliwa Chadema ni sababu ya ukabila wakati inawezekana si sababu ya msingi lakini unapoanza kusema msomali, mwarabu nk sijui unataka kutupeleka wapi anyway sisi vijana wa Nzega kwa swala la huyo unayemwita msomali hatulali mpaka kieleweke selelii analijua hilo hata joto la Nzega analijua vizuri Selelii hapo umekosea kidogo

Ni kweli Wasomali wameshindwa kujitawala PIA ni kweli Wahindi wamekuwa wachovu kwenye mjengo (tumeshakua nao). Hapo si ubaguzi ila ni ukweli wa mambo kama tunavyoweza kwa mfano sema wahadzabe ni normadic and primitive. Au kama tunavyoweza sema Watanzania kama nchi ni wabinafsi na wasiopenda kuwajibika kwao ila wanapenda kuwajibika kwa
Wazungu pia na kwa hao Wahindi nk, jionee mwenyewe umasikini TZ ulivyotapakaa. TZ by law si nchi ya kibaguzi lakini ukweli unabaki palepale kua ubaguzi ni human nature, na kwa kidogo tulichonacho, naami ilitakiwa tuonyeshe ari ya kuhakikisha mgeni hapati kitu. Hebu fikiria ukizaliwa familia ya watoto wawili lakini kila siku kuna mlo wa mtoto mmoja, naamini utajifunza kula haraka haraka.
 
Ushupavu wa Mzee Mengi na vyombo vyake vya habari katika vita dhidi ya ufisadi ni wa kuungwa mkono kwa nguvu zote, ila kinachonitia wasiwasi ni huu umwagaji wake wa mihela huku wafanyakazi wa IPP Media wanalia njaa mishahara mpaka jana walikuwa hawajalipwa.Hii haina maana Mzee Mengi hana hela, kuna uwezekano mishahara ya watoto wake imecheleweshwa na urasimu tuu, ila pia, huu wema wa Mzee Mengi, kukawa mahela kwenye majimbo yale yale tuu ya wale wabunge wale wale ili hali kuna majimbo mengine yanauhitaji mkubwa zaidi wa msaada wa Mengi kuliko huko fedha zinakomwagwa.Pia huu umwagaji wa fedha za mheshimiwa sana uko na un even distribution, kuna sehemu anamwaga milioni mia mia, kuna sehemu milioni 150 na majimbo ya Moshi alimwaga milioni 500!.Pia kuhusu ukamanda wa Mzee Mengi kwenye vita vya ufisadi na misaada inakomwagwa ni maeneo strategic ambayo in a longo run kutakuwa na bussiness interestAlianzia kumwaga misaada kwa Sendeka, akawazwa kuwa Ole Mengi, kufunga macho na kufungua, ni mmoja wa wamiliki wakubwa wa machimbo ya Tanzanite.Kwa Kimaro, mzee sasa ni mmoja wa wakulima wakubwa wa kibiashara, Nzega kwa Selelii sijua kuna nini?!. 'I fear the Greeks especially when they bring gifts'Kama mzee kweli hana ajenda yoyote!...sijui..anyway time will tell.Vidumu vita dhidi ya ufisadi.
 
Ushupavu wa Mzee Mengi na vyombo vyake vya habari katika vita dhidi ya ufisadi ni wa kuungwa mkono kwa nguvu zote, ila kinachonitia wasiwasi ni huu umwagaji wake wa mihela huku wafanyakazi wa IPP Media wanalia njaa mishahara mpaka jana walikuwa hawajalipwa.Hii haina maana Mzee Mengi hana hela, kuna uwezekano mishahara ya watoto wake imecheleweshwa na urasimu tuu, ila pia, huu wema wa Mzee Mengi, kukawa mahela kwenye majimbo yale yale tuu ya wale wabunge wale wale ili hali kuna majimbo mengine yanauhitaji mkubwa zaidi wa msaada wa Mengi kuliko huko fedha zinakomwagwa.Pia huu umwagaji wa fedha za mheshimiwa sana uko na un even distribution, kuna sehemu anamwaga milioni mia mia, kuna sehemu milioni 150 na majimbo ya Moshi alimwaga milioni 500!.Pia kuhusu ukamanda wa Mzee Mengi kwenye vita vya ufisadi na misaada inakomwagwa ni maeneo strategic ambayo in a longo run kutakuwa na bussiness interestAlianzia kumwaga misaada kwa Sendeka, akawazwa kuwa Ole Mengi, kufunga macho na kufungua, ni mmoja wa wamiliki wakubwa wa machimbo ya Tanzanite.Kwa Kimaro, mzee sasa ni mmoja wa wakulima wakubwa wa kibiashara, Nzega kwa Selelii sijua kuna nini?!. 'I fear the Greeks especially when they bring gifts'Kama mzee kweli hana ajenda yoyote!...sijui..anyway time will tell.Vidumu vita dhidi ya ufisadi.
ndio anasaidia lakini ili aweze kusaidia na kesho lazima awe anapata faida pia..
ni bora hivyo kuliko kwenda kumpa makamba au sofia simba azigawe kwenye uchaguzi wa wanawake
 
Bambumbile,

Mengi ana mapesa mengi tu machafu ambayo amepewa siku za karibuni kwa ajili ya uchaguzi wa 2010.

Hizo pesa sehemu kubwa ni kwa ajili ya upinzani na baadhi ya wabunge wa CCM. Inasemekana zimetoka kwa wafadhili ambao wameogopa kutoa moja kwa moja kwenye vyama vya siasa kwasababu ya kuogopa serikali. Badala yake wameingiza pesa nyingi kwa Mengi kupitia NGO zake ili kufanikisha hilo lengo.
embu tutajie hizo NGO za mengi
na kama hizo NGO hazipeleki hela zinakotakiwa kwa nini serikali isizianike
kumbe hizo hela anazogawa zinawauma sana
 
Ushupavu wa Mzee Mengi na vyombo vyake vya habari katika vita dhidi ya ufisadi ni wa kuungwa mkono kwa nguvu zote, ila kinachonitia wasiwasi ni huu umwagaji wake wa mihela huku wafanyakazi wa IPP Media wanalia njaa mishahara mpaka jana walikuwa hawajalipwa.Hii haina maana Mzee Mengi hana hela, kuna uwezekano mishahara ya watoto wake imecheleweshwa na urasimu tuu, ila pia, huu wema wa Mzee Mengi, kukawa mahela kwenye majimbo yale yale tuu ya wale wabunge wale wale ili hali kuna majimbo mengine yanauhitaji mkubwa zaidi wa msaada wa Mengi kuliko huko fedha zinakomwagwa.Pia huu umwagaji wa fedha za mheshimiwa sana uko na un even distribution, kuna sehemu anamwaga milioni mia mia, kuna sehemu milioni 150 na majimbo ya Moshi alimwaga milioni 500!.Pia kuhusu ukamanda wa Mzee Mengi kwenye vita vya ufisadi na misaada inakomwagwa ni maeneo strategic ambayo in a longo run kutakuwa na bussiness interestAlianzia kumwaga misaada kwa Sendeka, akawazwa kuwa Ole Mengi, kufunga macho na kufungua, ni mmoja wa wamiliki wakubwa wa machimbo ya Tanzanite.Kwa Kimaro, mzee sasa ni mmoja wa wakulima wakubwa wa kibiashara, Nzega kwa Selelii sijua kuna nini?!. 'I fear the Greeks especially when they bring gifts'Kama mzee kweli hana ajenda yoyote!...sijui..anyway time will tell.Vidumu vita dhidi ya ufisadi.

Pasco,

Kwani mengi si ni mtanzania na ana haki ya kuwekeza popote pale? Ni afadhali mara kumi akawapa watu hela, halafu naye akawekeza, kuliko kuwekeza bila kuwapa watu hela kabisa (which is quite possible). Na pia ni haki yake kuchagua anakotaka kutoa misaada - ulitaka aende akatoe jimboni Igunga au Monduli au Bariadi! Pia ni haki yake kuambatana na watu anaodhani wana common interest naye - these are the fellas who have been shouting about ufisadi and so is he. Sasa kwa nini asiwape tafu kama anaona wamezidiwa na nguvu ya ufisadi? Unajua hata kama mengi angekuwa anafanya yote hawa with a hidden agenda, as long as the agenda is something legal mwacha a pursue. Kama anataka urais, ni haki yake, kama anataka Nobel prize nk. ni haki yake. Ila kama anataka kumpindua rais wa nchi huo utakuwa ni uhaini kwa sheria iliyopo. Let the guy do it mpaka hapo atakapofikia.

Habari ya ipp na kukosa mishara si nzuri sana kuisikia. Lakini bado nasema, unless tunauhakika na kuwa anatoa hela ipp na kuzipeleka huko - which I think external auditors should be able to point that out, sioni kwa nini tuamini kuwa mengi achukue hela zake (may be out of his earnings/dividends) awalipe ipp wakati ipp wanatakiwa kulipwa na ipp LIMITED! Mishahara ya ipp haiwezi kulipwa na bonite, kwa mfano!
 
Ushupavu wa Mzee Mengi na vyombo vyake vya habari katika vita dhidi ya ufisadi ni wa kuungwa mkono kwa nguvu zote, ila kinachonitia wasiwasi ni huu umwagaji wake wa mihela huku wafanyakazi wa IPP Media wanalia njaa mishahara mpaka jana walikuwa hawajalipwa.Hii haina maana Mzee Mengi hana hela, kuna uwezekano mishahara ya watoto wake imecheleweshwa na urasimu tuu, ila pia, huu wema wa Mzee Mengi, kukawa mahela kwenye majimbo yale yale tuu ya wale wabunge wale wale ili hali kuna majimbo mengine yanauhitaji mkubwa zaidi wa msaada wa Mengi kuliko huko fedha zinakomwagwa.Pia huu umwagaji wa fedha za mheshimiwa sana uko na un even distribution, kuna sehemu anamwaga milioni mia mia, kuna sehemu milioni 150 na majimbo ya Moshi alimwaga milioni 500!.Pia kuhusu ukamanda wa Mzee Mengi kwenye vita vya ufisadi na misaada inakomwagwa ni maeneo strategic ambayo in a longo run kutakuwa na bussiness interestAlianzia kumwaga misaada kwa Sendeka, akawazwa kuwa Ole Mengi, kufunga macho na kufungua, ni mmoja wa wamiliki wakubwa wa machimbo ya Tanzanite.Kwa Kimaro, mzee sasa ni mmoja wa wakulima wakubwa wa kibiashara, Nzega kwa Selelii sijua kuna nini?!. 'I fear the Greeks especially when they bring gifts'Kama mzee kweli hana ajenda yoyote!...sijui..anyway time will tell.Vidumu vita dhidi ya ufisadi.

This is too low for JF, even distribution kwani ni Mengi ni serikali? Hata akiamua kuanzia leo misaada ni Moshi tu wht is wrong with that?????????? Thinking za namna hii ndio zimetengeneza vijipasepsheni vya ajabu ajabuj ktk nchi yetu na end of the day nothing moves!

Pasco, sorry lakini huu ni upupu!!!!
 
Nawapongeza makamanda hawa kwa juhudi zao za pamoja kutokomeza ufisadi Tz, tuko wengi tunawaunga mikono na miguu. Wasiofu kwani wajapozungukwa na jeshio kubwa la mafisadi wajue kuwa jeshi lililo upande wao ni kubwa sana na lina nguvu za kutosha . Wakumbuke wana wa Israeli Mungu alivyowapigania, Daudi vs Goliath, Joshua na majitu, mifano hii yote adui alionekana anavuma na mwenye nguvu ila mwisho wao ulikuwa mbaya. Pesa za mafisadi haziwezi kununua kila kitu katika nchi hii, wajue kwamba siku zao zinaesabika. La muhimu kwao mafisadi watubu, warudishe vyote walivyo waibia wa-Tz, wakae pembeni katika siasa za Tz.
Keep it up Mr Mengi, Mwakyembe, Selelii na wengine, never ever give up. wakati wakupanda kuna kilio lakin wakati wa mavuno ni mashangilio.... Mungu atawalipa kwa juhudi zenu zakutokomeza unyonyaji Tz.
 
Back
Top Bottom