Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Kama wao wenyewe huwa wanakiri na kuuwa raia wasiokua na hatia kwa kutumia drone ww ni kama nani unapinga kuwa hawauwi raia wasiokua na hatia? Unafkiri hio drone ikishambulia sehemu inatambua sura kwanza ndio inashambulia? Kwa taarifa yako drone nyingi za marekani zaidi zinauwa watoto na akina mama ambao hawana hatia, UKITAKA USITAKE MAREKANI NDIO MAGAIDI NAMBA 1 DUNIANI KWA KUUWA WATU NA KUSABABISHA MAKUNDI YA KIGAIDI.Ni nani asiejua kuhusu hilo, Marekani ni wanyama tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani mwafrika akili zake dah mtihani sana. Ni wachache sana wanaojielewa,,, Hapo ongezea na corona wamelitengeneza marekani wenyewe na kusababisha maelfu ya raia wasio na hatia kuuawa na uchumi kuporomoka duniani,,,mpaka Afrika na nchi za kiarabu janga hilo limewafikia,,,mafuta yameshuka na kufikia dola 40 n something
Ugaidi + Corona=Marekani
Ugaidi=Israel na Marekani