Mende haishi kwenye geto la msela

Mende haishi kwenye geto la msela

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,845
Reaction score
4,775
Wadau baada ya kujikita ktk utafiti wa kina.... nimegundua mdudu aitwaye mende hawezi kbs kuishi kwenye geto la msela hata kama geto ni chafu. Tumefanya majaribio kwa kuwakamata na kuwaweka geto ila matokeo yake wote wametoroka sasa nadhani watakuwa wameanza maisha mapya kwenye kabati la mama mwenyenyumba. Naamini utafihuu umekuongezea maarifa. Ahsanteni sana, nawasilisha.
 
ni kweli mkuu geto langu lilikuaga chafu balaa sikuonaga mende..... basi siku iyo kesho yake anakuja manzi angu nikapiga usafi wa kufa pipo.....kesho yake manzi yupo geto nikashangaa mende kadhaa wamejitokeza kweli nimeamini mende hakai geto chafu mpaka upige usafi
 
ni kweli mkuu geto langu lilikuaga chafu balaa sikuonaga mende..... basi siku iyo kesho yake anakuja manzi angu nikapiga usafi wa kufa pipo.....kesho yake manzi yupo geto nikashangaa mende kadhaa wamejitokeza kweli nimeamini mende hakai geto chafu mpaka upige usafi


Aisee!! Usafi wa kudanj pipo lakini mende wakatia maguu ama nene!!!!!
 
Wadau baada ya kujikita ktk utafiti wa kina.... nimegundua mdudu aitwaye mende hawezi kbs kuishi kwenye geto la msela hata kama geto ni chafu. Tumefanya majaribio kwa kuwakamata na kuwaweka geto ila matokeo yake wote wametoroka sasa nadhani watakuwa wameanza maisha mapya kwenye kabati la mama mwenyenyumba. Naamini utafihuu umekuongezea maarifa. Ahsanteni sana, nawasilisha.
Mende wanakaa penye uchafu hasa wa vyakula, na penye msongamano wa vitu vilivyowekwa hovyohovyo. Sababu kuu ya kutokaa kwa msela ni eneo dogo na hamna vitu vingi always kwny geto la msela yyte, so mende wannakosa pa kujificha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom