Men will always be men

Men will always be men

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,709
Reaction score
35,711
Lazima tutambe kama tunavyotambiana hapa JF kwa ID fake

FB_IMG_1684566734173.jpg
 
Mwanaume ni lazima abaki kuwa mwanaume…hili halina ubishi.

50/50 kwa mwanamke na mwanaume hakuna.
Labda ni huko Beijing china😁😁
Unatumia kinywaji gani chenye kileo 😇😇😇🥂🍺🍸🥃🍷
 
Mwanaume ni lazima abaki kuwa mwanaume…hili halina ubishi.

50/50 kwa mwanamke na mwanaume hakuna.
Labda ni huko Beijing china😁😁
Mkuu effects za beijing zipo, kwa sasa mwananke anaye manage familia haamini kuwa hiyo ni kazi, hata kama familia inao members 20 wakiwemo na watoto wadogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom