Men this is too much, stop it!

Men this is too much, stop it!

TheDealer

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
2,424
Reaction score
1,132
Hi members and guests!

Jukwaa la MMU limejaa vilio vingi sana za -me na za -ke wengi wanalia kuchezewa rafu kwenye love affairs.

In that game of love mara nyingi a man ndio refa(ndio anaemua atongoze ama aache), ndio mchezaji(a man is a source of love, trust me) ndio mshika kibendera, ndio mshabiki(yeye ndie anaefurahi zaidi, thus why anatoa hela na bado anahangaika kumfikisha . . . . . bila kusahau kubembeleza)

Kinachostaajabisha ni hichi kilio cha -me kilichozidi huku jukwaani kuhusu -ke. Mjitambue you men! mpira upo upande wako tangu kuumbwa kwa ulimwengu lakn mnalialia km watoto ya ndege. Mnakosea kuchagua -ke halafu mnakuja kulalamika, halafu mlalamika kutendwa tu hamlalamiki hata constructively.

Refa unalia, mchezaji unalia, mshabiki unalia, shit!

Wengi wanaolalamika ni wale wanaodhani to be a man is just a given package, no its a challenged package! Its a package you must justify if you dont justify you wil be a man just by INDUCTION! you man never forget this, if u forget this you cry as mtoto ya ndege!

Nyie vilizi mjitambue sasa, mnaboa!
 
Hi members and guests!

Jukwaa la MMU limejaa vilio vingi sana za -me na za -ke wengi wanalia kuchezewa rafu kwenye love affairs.

In that game of love mara nyingi a man ndio refa(ndio anaemua atongoze ama aache), ndio mchezaji(a man is a source of love, trust me) ndio mshika kibendera, ndio mshabiki(yeye ndie anaefurahi zaidi, thus why anatoa hela na bado anahangaika kumfikisha . . . . . bila kusahau kubembeleza)

Kinachostaajabisha ni hichi kilio cha -me kilichozidi huku jukwaani kuhusu -ke. Mjitambue you men! mpira upo upande wako tangu kuumbwa kwa ulimwengu lakn mnalialia km watoto ya ndege. Mnakosea kuchagua -ke halafu mnakuja kulalamika, halafu mlalamika kutendwa tu hamlalamiki hata constructively.

Refa unalia, mchezaji unalia, mshabiki unalia, shit!

Wengi wanaolalamika ni wale wanaodhani to be a man is just a given package, no its a challenged package! Its a package you must justify if you dont justify you wil be a man just by INDUCTION! you man never forget this, if u forget this you cry as mtoto ya ndege!

Nyie vilizi mjitambue sasa, mnaboa!

Kwaheri!
 
He jaman wew usiwaseme wenzio...
Wanasemaga love is blind ivo wenzio hawaoni kama wao ni marefa...
Ila athante kwa kukumbusha naamini wamekuckia na ikiwezekana vilio vitapungua,ikishndkana vitaendelea kuwepo tu maana Love sucks
 
Khaa Unapovu!!!
Kwaiyo ninyi ke mpo mpo tu! Mnataka muendeshwe kama rimota vile! Ninyi hamna jukumu lolote ktk mahusiano?????
...
Pambaf zako! Umesahau 'No woman, No cry'?
 
lol!!!! bora umewapa maana vilio vimezidi.... anyway sa ivi zianze nyuzi za kuboresha mapenzi!!!!
 
EXCELLENT IN DEED!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Men might have all the powers as you claim but every now and then they need just a little help from the heavens.

The true power is not on what you can do or decide to do but rather what you can make someone else do what you want them to do.

Hence men have the power but women have the wisdom to control and manage that power to our advantage.
 
Hi members and guests!

Jukwaa la MMU limejaa vilio vingi sana za -me na za -ke wengi wanalia kuchezewa rafu kwenye love affairs.

In that game of love mara nyingi a man ndio refa(ndio anaemua atongoze ama aache), ndio mchezaji(a man is a source of love, trust me) ndio mshika kibendera, ndio mshabiki(yeye ndie anaefurahi zaidi, thus why anatoa hela na bado anahangaika kumfikisha . . . . . bila kusahau kubembeleza)

Kinachostaajabisha ni hichi kilio cha -me kilichozidi huku jukwaani kuhusu -ke. Mjitambue you men! mpira upo upande wako tangu kuumbwa kwa ulimwengu lakn mnalialia km watoto ya ndege. Mnakosea kuchagua -ke halafu mnakuja kulalamika, halafu mlalamika kutendwa tu hamlalamiki hata constructively.

Refa unalia, mchezaji unalia, mshabiki unalia, shit!

Wengi wanaolalamika ni wale wanaodhani to be a man is just a given package, no its a challenged package! Its a package you must justify if you dont justify you wil be a man just by INDUCTION! you man never forget this, if u forget this you cry as mtoto ya ndege!

Nyie vilizi mjitambue sasa, mnaboa!


Kwaheri!
Kwa nini sasa uliweka -ke nao wana vilio na huja onyesha nafasi yao hapo?
wewe ni jinsia gani? maana lugha yako mna..mna umejiondoa kabisa! Je una mke au mme? kama wewe ni mke nakuelewa kwa ujumbe wako baadhi ya maeneo!
Kama wewe ni me na huna mke hujajitambua so kua uyaone! kama umeoa una lugha chafu sana usijiondoe kwani vilio vya wanaume kusalitiwa wanao wachukua hao wana wake ni akina nani? na kama sisi wanaume hatuwafikishi ila wewe tu mbona wote hawajaja kwako tu?
 
Aaagh! Pambaf senu!
Izi nyuzi ziko ngapi?
...
Kwa hiyo ninyi ke mnataka muendeshwe kama roboti vile! Si ndio?
Nyi kama gunia la misumari vile!!!
Eee! Hata muekwe katika chuma mnatoboa tu!
Waone vile!
 
Binafsi sijui kama nakosea, ila nikiona mwanaume anayelalama sana hapa jamvini kuhusu kutendwa n.k, huwa najiwa na mawazo haya yafuatayo:

1. Maybe he ain't man enough...

2. Kaparamia mapenzi pasipo kujiandaa...

3. Umri mdogo...
 
EXCELLENT IN DEED!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Men might have all the powers as you claim but every now and then they need just a little help from the heavens.

The true power is not on what you can do or decide to do but rather what you can make someone else do what you want them to do.

Hence men have the power but women have the wisdom to control and manage that power to our advantage.
Huwa nawashangaa sana watu wanaopinga huyu binti anapo pongezwa kwa constructive ideas, mleta uzi alishindwa kuelewa kusalitiwa ni mchango wa madhaifu ya pande zote mbili kama mme pamoja na power zote hizo nguvu ya Mungu inahitajika pia matumizi ya power yako ni mhimu sana!
Mke amepewa wisdom sasa naye kama anaitumia vizuri atagawaje uroda nje? mleta uzi alipaswa kujitambua nini anaandika!
Lara1 big up kuirekebisha hii thread!!!!!
 
Tushachoka alaf hizi sad stories zao wengine sijui ni movies wanatuletea au vip
 
Binafsi sijui kama nakosea, ila nikiona mwanaume anayelalama sana hapa jamvini kuhusu kutendwa n.k, huwa najiwa na mawazo haya yafuatayo:

1. Maybe he ain't men enough...

2. Kaparamia mapenzi pasipo kujiandaa...

3. Umri mdogo...

Haswaaaaaa. . . . . . . . . . .!
 
Kwa nini sasa uliweka -ke nao wana vilio na huja onyesha nafasi yao hapo?
wewe ni jinsia gani? maana lugha yako mna..mna umejiondoa kabisa! Je una mke au mme? kama wewe ni mke nakuelewa kwa ujumbe wako baadhi ya maeneo!
Kama wewe ni me na huna mke hujajitambua so kua uyaone! kama umeoa una lugha chafu sana usijiondoe kwani vilio vya wanaume kusalitiwa wanao wachukua hao wana wake ni akina nani? na kama sisi wanaume hatuwafikishi ila wewe tu mbona wote hawajaja kwako tu?

Am sorry, it seems safari yako is so long!

Punguza hisia na mahaba kwenye issues if you want to reach to the point where you can describe with a single word

"why few feeds but many are fed"

Pole sana!
 
Aaagh! Pambaf senu!
Izi nyuzi ziko ngapi?
...
Kwa hiyo ninyi ke mnataka muendeshwe kama roboti vile! Si ndio?
Nyi kama gunia la misumari vile!!!
Eee! Hata muekwe katika chuma mnatoboa tu!
Waone vile!

mkuu, umenifurahisha sana hapa!
 
Aliyesema mapenzi yanarun dunia! Hajakosea hata kidogo!! So vilio havitaisha kamwe as long as jukwaa hili ni mahususi kwa mambo kama hayo 2tasikia mengi!! Cha msingi we kama upo katika mahusiano mapenzi na ndoa omba mungu yasikukute la sivyo utakuja kulia hapa ushindwe hadi kuweka koma na vituo.
 
Am sorry, it seems safari yako is so long!

Punguza hisia na mahaba kwenye issues if you want to reach to the point where you can describe with a single word

"why few feeds but many are fed" Pole sana!
what the heck? are u a lady or a gentleman? be twerked!
pole mwenyewe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom