Men are cruel to single women


kUWA DESPERATE NA NDOA MIMI NAONA NI MALEZI IT DOESNT NEED YOU TO BE 30 OR 40 OR 50. Kuna watoto wana miaka 23 ila wako desperate ni hatariiiiii. Kujizalisha ovyoo hawana mpinzani mpaka unamuuliza wewe una matatizo gani? Kila mwanaume unazaa nae, hujifunzi tuuuu?

HASWA HUKU USWAZI, YANI WASICHANA MASIKINI NI JIPU KUBWA KUNGANGANIA NDOA. Mi nashukuru Mungu amenipa exposure kidogo na kukaa na watu wenye uwezo katika maisha nikajifunza mawili ma 3. Sawa watu wenya hela wanakuwa desperate kidogo, ile hamu tu na kuwa na mtu wake ila sio kitete cha kumvagaa mtu na kumlazimishaaa. Na wana vigezo vyao. Ila uswazi mpaka kwa mganga ataenda, huyo anaelogwa sasa utaona mpaka hurumaaa. Hastahili kabisaa hata hio mikombora. Labda sababu huku swazi zaidi ya kutolewa na mwanaume kimaisha HUTOKIIIII.
 
ni vizuri kujitambua maana ndoa kwanza inapangwa na Mungu ukijilAZIMISHA MAHALI HUTOFIKA HATA .ILA MIMI NATAKA SANA KUOLEWA ILA FLOVOUR ZANGU HAMNA KABISA YAANI.SIJUI NITAPATA WAPI MUME WA TYPE YANGU
 
VERY TRUE....I LIKE THAT
 
Hata nikiachika leo ntaolewa tena. Walikuwa wengi kwenye mstari. Na huyu kaka sio kwamba nimembahatisha, i know how to keep a man.

Si kweli,nyie watu wamajisifu bwana,waongo sana.....by default hua siwaamini..

Prove me wrong!
 
Who is loosing... wanawake bana? Utakapo kua 30+... kwa visingizio kama hivi vyako, unadhan ni nani anadhurika? au anae lala anahesabu mabati?

Ukimzingua mwanaume leo kesho yupo pengine, kesho kutwa anaoa.. anaweka mke ndani anarud kwako kuomba kipochi manyoya


Waendeeln kuwadanganya tu.. Age is just a number, tuko makini na umri kweli kweli, mwanaume hua anaongozwa na genye, na akili za kichwa cha chini kwenye maswala ya totoz ila sio kwenye kuoa, anakua conscious vibaya mno
 
My friend, usipoteze mda, ndio maana ndoa imepeperuka, huwez ishi na mtu wa hv
 
WHAT I THINK IS MEN ARE NOT CRUEL,ITS JUST THAT AS A WOMAN,AS A SINGLE WOMAN YOU SHOULD LEARN TO KNOW YOUR STAND,AND WHAT MAKES YOU PROUD AND STRONG,IF A GUY WANTS A SKINNY LADY,A A WOMAN THAT HE SEES ON THE MAGAZINE,NO THANKS TO THAT BROTHER,HE AINT MY TYPE,I ENJOY BEING SINGLE,,,THAT JUST MAKES ME REALIZE I HAVE NOT MET A MAN OF MY STANDARD,AND AM PATIENT..COZ I KNOW THE GUY THAT I WANNA DATE IS SUPER COOL..SO HARD TO GET

......SISTER SOME MEN DONT EVEN WORTH YOUR LOVE,GOT TO BE CAREFUL,AND MARRIAGE IS NOT EVERYTHING IN WORLD,THERE THOSE WHO WISH HAD NEVER MADE THAT COMMITMENT
-BE YOU
-BE TRUE
-BE HAPPY
......LIFE IS SHORT MAKE TIME TO ENJOY....
 
ahahaaa wanaume wapo tena wengi tu lakini tamaa hizi.mtu unaanzaje kulala chini na mtu wakati wengine wanaishi masaki huko?
Haya nenda masaki, alafu ukifika huko waulize,, mlizaliwa coco beach au wapi?
 
ahahaaa wanaume wapo tena wengi tu lakini tamaa hizi.mtu unaanzaje kulala chini na mtu wakati wengine wanaishi masaki huko?

Nahusisha wazo lako na maisha ya kufikirika ya Watanzania kwa muda mrefu.

Maisha ya kufikirika ni kama ulivyodokeza "mtu unaanzaje kulala chini na mtu wakati wengine wanaishi masaki huko?" Mfano mwingine ni wa kuwa na gari la bei mbaya huku unaishi kwenye nyumba ya kupanga tena chumba kimoja.

Ukiishi kwa jinsi ya uwezo wako naamini utapata mwenzi wa jinsi yako. Ukitaka wa kutanua maisha, pia utampata na zikiisha pesa za matanuI, bila shaka unarudia hali yako ya mwanzo. Itakuwa bahati yako usiachike, ila naamini mwanamke ataacha na kutafuta wa kutanua naye tena.

Serikali ya Awamu ya Tano, siyo tu inadhibiti ufisadi, ila pia inaziba mianya ya fedha zinazopatikana kwa njia isiyo halali. Ni wazi kwamba ndoa nyingi zitayumba na kuvunjika, kama msingi wake ulikuwa mali. Upo hapo "Miss Natafuta"! Tafuta mnayefanana kwa kila hali, na wapo tu wengi.

Ila nirejee kwenye swali langu la msingi kumjibu 'Sonnet': kwa nini unataka kuolewa (kinyume cha kuwa 'single')?
 
My friend, usipoteze mda, ndio maana ndoa imepeperuka, huwez ishi na mtu wa hv

Mtu asipokua na utayari wa kujiona na kujiuliza kuwa yeye anakosea wapi kabla ya kuanza kumtafuta mbaya ni nani kamwe hawezi kupata majibu yaliyo kamilika, whether she take it or leave it but she has got some reflections to do
 
WALIZALIWA HUKU NILIPO WAKAPELEKWA KULE NA MIMI NASUBIRIA WA KUJA KUNIFATA BNA
wakapelekwa au wakaenda? dhahabu haiwez kua dhahabu mpk ipite kwenye moto mkali sana ndio iwe dhahabu... hawakudondoka pale bahati mbaya, ni matokeo ya juhudi zao

Badala ya wewe kusaidia na mwenzio, unataka ukute kila kitu kipo.. huyu unae mkimbia leo, kesho unamkuta amesimama, unae mkimbia kesho kutwa mtindogoo unamkuta amesimama, unaendelea kukimbia tu.. mara vuu 30+ hiyo hapo, utaimba hallelujah
 
Mkishaandika tu lugha zenu za kijinga hizi bhasi huwa sisomi tena hiyo habari.
Maana wengi huwa mnajifanya hamjui kiswahili. Chenji kabicha
 
HIVII MWANAUME HUNA HATA KIANZIO JAMANI UTALAUMU WANAWAKE? MKUU NILIKUWA NATANIA TU SITAKI MWANAUME TAJIRI ILA AT LEAST MWENYE MALENGO NA DIRA .SASA WENZETU NYIE MPO KISEX TU .MIMI SIWEZI KABISA
 
When you call me classy don't expect me to get offended. Since you have decided to categorize us then what you are really telling me is that l am out of your league.
 
HIVII MWANAUME HUNA HATA KIANZIO JAMANI UTALAUMU WANAWAKE? MKUU NILIKUWA NATANIA TU SITAKI MWANAUME TAJIRI ILA AT LEAST MWENYE MALENGO NA DIRA .SASA WENZETU NYIE MPO KISEX TU .MIMI SIWEZI KABISA
Kwanza ondoa kauli, hatulaum wanawake, alafu hakuna mwanaume ambae hana dira, kile unacho muona nacho kwa upande wake yeye ndio mafanikio yake , wewe kama mwanamke una uwezo wa kumfanya aisiishie hapo... mbona sie hua hatuuliz kama mna dira au la?


Msaidie, kwa maneno au kwa vitendo, msumbue ayachukie mambo madogo madogo, msumbue ajitume, mtafika tu... yan mzae katoto hadi kafike 10 yrs mnakua mmefika mahali


again, hakuna kitu kifupi kama usishana kwenye hatua za ukuaj wa binadamu.. kama bao la kwanza, mda wenu wa kuringa hua n mdogo sana alafu wengi wenu wanakuaga hawajui, wanapo anza salimiwa na watoto "shikamoo mama" wakat ana miaka 28 ndio anaanza shituka... ukifika 40 tu hapo tayari menopause... sijuag hiyo jeuri mnatoleaga wap, yaan thielew kabisa hahahaha
 
When you call me classy don't expect me to get offended. Since you have decided to categorize us then what you are really telling me is that l am out of your league.

How do we even start calling u classy from the first place depends in a quiet number of factors judging from your writing, expressions, desires, your educational levels, financial status...you've written quiet a huge content from which it makes it easy to describe what type of a person we are dealing with, so instead of saying we have "categorized" you...i think you should go back and refer what your post says cause trust me... it pretty much says alot about u
 


HAHAAAA. Pia ukiwa umeolew in your 30s and nothing is happening mtihani. Unaozaa kimara watoto wa 3, umechoka hatariiii. Wenzio ulio graduate nao, wanaongeza vyeti, vyeo, na kujaza passport. HAHAAAA! IN LIFE YOU DONT GET EVERYTHING.

MUNGU ANAWEKA SOME SORT OF BALANCE, MKUKITANA MNAHESHIMIANA KIULAZIMA. ANAPOPUNGUZA ANAKUONGEZA PENGINE KUKU CPMENSATE NA ANAEMUONGEZEA PENGINE, KWINGINE ANAPUNGUZAAAA. ACHENI MUNGU AITWE MUNGU.

SOME FEW BY FEW I MEAN VERY FEW GET EVERYTHING. ILA NI WACHACHE MNOOO.

Mi hata niwe na miaka 100 mwanaume wa kunikopa apite kuliaaa nitakuwa nyumba ndogo kwa Le Boss.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…