Njia nyingine. Weka memory card kwenye pc kisha ukopi files zote uweke kwenye pc kisha rudisha kwenye hiyo nokia yako uFormat baada ya hapo rudisha tena kwenye pc kisha chukua zile files ulizokopi kila file uweke kwenye folder ambalo liko related with that file. Important, Usirudishe zile folder ulizoCopy kama zilivyo bali tumia zile ambazo simu imetengeneza wakati wa kuFormat. OK?