AljuniorTz
JF-Expert Member
- Jan 6, 2009
- 544
- 19
Kwenu Nyote
Nawajulisha ya kuwa MwanaJamii mwenzetu anaejulikana kwa jina la Stone Town, yupo Dar es Salaam kwa matibabu zaidi ktk hospital ya kijeshi Lugalo; ule mguu aliofanya upasuaji mdogo wa paja, bado unamfanyia tabu. Uvimbe umerudi tena, na pale aliposhonwa panamletea maumivu makali sana.
Jana niliwasiliana nae akanieleza kuwa amepewa dawa za kutumia kwa muda wa siku 3, then ataenda kufanyiwa uchunguzi zaidi baada ya siku hizo 3.
Anatuomba tumuombee dua ili apone kwa haraka ili arudi katika shughuli zake za kila siku za kujitafutia rizki.
Nimewasilisha.
Nawajulisha ya kuwa MwanaJamii mwenzetu anaejulikana kwa jina la Stone Town, yupo Dar es Salaam kwa matibabu zaidi ktk hospital ya kijeshi Lugalo; ule mguu aliofanya upasuaji mdogo wa paja, bado unamfanyia tabu. Uvimbe umerudi tena, na pale aliposhonwa panamletea maumivu makali sana.
Jana niliwasiliana nae akanieleza kuwa amepewa dawa za kutumia kwa muda wa siku 3, then ataenda kufanyiwa uchunguzi zaidi baada ya siku hizo 3.
Anatuomba tumuombee dua ili apone kwa haraka ili arudi katika shughuli zake za kila siku za kujitafutia rizki.
Nimewasilisha.