Wasukuma tupo wengi humu na id zipo nyingi na nyingine hazitumiki mkuu, chama changu kinanipa posho za kutosha na kinatoa fulsa nyingi sana kwa vijana kiuchumi🙏nitawatembelea huko siku moja niwape elimu ya fulsa za mama yetu kipenzi alizozitoa kwa vijana ili muondoke kwenye huo uraibu wa kubeti