.ingekuwa ni fedha za shule, maji, barabara....
Huu ni uwongo benki gani itakayo kupa bil 3.5 cash kwa madafu yetu utayabebea wapi jamani??? Wasitupige changa la macho kijinga hivi
Hivi neno kukaimu naona limemchanganya membe? Sijui unapokaimu majukumu ni yapi na ukomo ni upi? Membe labda ufafanue hilire. wizi ulipangwa hazina.
ni hatari kuona kiasi kikubwa kama hicho cha fedha kinatoeka ktk mazingira ambayo maofisa wa serikali wanahusika. ni vyema wangehifadhiwa kwanza(jela) then uchunguzi ikaendelea.
Hili ni changa la macho, watu wamekamatwa wanagawana pesa, hawapelekwi gerezani au kufungiliwa mashitaka badala yake wanasimamishwa kazi wanaendelea kulipwa nusu mshahara,Inaundwa tume kuchunguza nayo itumie pesa, waziri anasema wao wameshika mkia, wanakitafuta kichwa, hii ni dhahili serikali ni dhaifu. Huyo Membe inakuwaje yeye, naibu wake , katibu mkuu na naibu wake wote kuwa safari kwa wakati mmoja, na nafasi zao kukaimiwa?? Au hii ni njama yao pamoja na waliowakaimu ili wachote hizo pesa.
Hivi Membe haoni aibu katika nchi ambayo madaktari na walimu wanataka kugoma kwasababu ya malipo duni wao wanatumia mabilioni kusafiria?...it is a shame
Kuna umuhimu wa wabunge(vyama vya upinzani)kama safari chache hizo zinatakiwa kugharamiwa na billion 3.5 , tangu jamaa aingie ikulu ametugharimu sh ngapi?
Sio kweliHili ni changa la macho, watu wamekamatwa wanagawana pesa, hawapelekwi gerezani au kufungiliwa mashitaka badala yake wanasimamishwa kazi wanaendelea kulipwa nusu mshahara,Inaundwa tume kuchunguza nayo itumie pesa, waziri anasema wao wameshika mkia, wanakitafuta kichwa, hii ni dhahili serikali ni dhaifu. Huyo Membe inakuwaje yeye, naibu wake , katibu mkuu na naibu wake wote kuwa safari kwa wakati mmoja, na nafasi zao kukaimiwa?? Au hii ni njama yao pamoja na waliowakaimu ili wachote hizo pesa.
We jamaa una shida kwenye medulaWalewale walio kunywa uji wa mgonjwa.