mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,309
- 2,218
Membe alifukuzwa kutoka CCM na si kwamba aliondoka kwa kupenda, unaposema unamkaribisha haileti mantiki, yeye akae huko huko alikoHuyu mzee wa kazi na bata ambaye alijitokeza kuchukua fomu kugombea Urais wa Tanzania ameonyesha dalili zote za kutokuwa na maandilizi na mikakati ya kutosha.
Tangu amezindua kampeni zake amekuwa anafanya mikutano yake ya kampeni mikoa ya Lindi na Mtwara na hakuna ratiba inayoonyesha atakuwa na mikutano nje ya mikoa hiyo.
Je, bwana Membe pumzi zimeshakata au anadhani yupo kwenye kampeni ya ubunge wa jimbo?
Wapinzani mnapaswa kujipanga kimkakati na kiuwezo. Au kuingia kwenye uchaguzi mkuu kuliendana na fungu la pesa kutoka nje?
Membe, nakukaribisha CCM hata kama ukitaka kurudi leo tutakupokea. Umechoka unahitaji kustaafu na kulea wajukuu huku ukishauri madiwani wa CCM kwenye wilaya yako nini maana ya uzalendo.
Ana kiburi sana yule, hataki kuomba radhiAombe radhi yaishe
Ila unajitahidiMembe atawashangaza ile ndiyo kampeni ya kisayansi. Membe atapata kura nyingi kuliko Lissu
Membe atawashangaza ile ndiyo kampeni ya kisayansi. Membe atapata kura nyingi kuliko Lissu
Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuichagua tena hii Serikali ya WATEKA NYARA, mamia kwa maelfu wanakusanyika huko kupata BURUDANI YA WASANII tu. Kusitishwa kwa matamasha kwaajili ya COVID-19 kuliwaacha watu wengi katika lindi la upweke.Labda Rais wako na familia ako
Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuichagua tena hii Serikali ya WATEKA NYARA, mamia kwa maelfu wanakusanyika huko kupata BURUDANI YA WASANII tu. Kusitishwa kwa matamasha kwaajili ya COVID-19 kuliwaacha watu wengi katika lindi la upweke.imeshagundulika hakuna mchezo wowote apo! taarifa za ndan zilishaelezea kila kitu kinachoendelea
Acha kujidai mjuaji kuliko wajuaji. Rudia andiko langu, soma kwa taratiiibu, unaweza kuelewa. Hiyo mikoa uliyoitaja yenye waislamu wanavigogo wenye ngome zao huko kama Kigoma mjini na Lindi/Mtwara? Mbaaafu kabisa wewe, usithubutu tena kunikaripia siku nyingine 😡Akili za kijinga kabisa hizi!!
Mkoa wa Pwani hakuna Waislamu?!
Tanga hakuna Waislamu?!
Tabora hakuna Waislamu?!
Au unataka kutuambia Magufuli kaanzia Bara kwa sababu na yeye anategemea Ukristo kuibeba CCM sio?!
Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuichagua tena hii Serikali ya WATEKA NYARA, mamia kwa maelfu wanakusanyika huko kupata BURUDANI YA WASANII tu. Kusitishwa kwa matamasha kwaajili ya COVID-19 kuliwaacha watu wengi katika lindi la upweke.