William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
swali liko palepale je balozi ambazo hazipati waombaji wa visa wa kutosha zinajiendeshaje?Manake Mkuu umetaja hizo nchi giant na naweza kukubali kuwa zinaleta wataalii wengi bongo sasa je zile balozi ambazo ziko kwa 'wachovu' au wasiopenda kufanya utalii tanzania vipi huko nako wanaishi kwa hela ya visa?
- Mkuu nchi nilizozitaja nimewahi kuishi na kama kawa very close na watu wa hizo ofisi, ndio maana ninafahamu vyema jinsi system zetu za balozi financially zinavyofanya kazi, maofisa wanaweza kosa mishahara, lakini sio the locals au bills za ofisi ni lazima zilipwe ontime na wakati mwingi hutegemea hela za viza kunapokosekana hela toka serikalini.
- Pia nimewahi kuishi katika nchi za ki-Africa pia, kama Zambia, Burundi, Rwanda, Kenya na zaire sikuwahi kusikia kwamba ofisi za balozi zina matatizo ya hela hata siku moja, matatizo ya hela mara kwa mara huwa ni kwa balozi zetu za West.