Membe toa tamko dhidi ya Malawi

Membe toa tamko dhidi ya Malawi

AZUSA STREET

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2013
Posts
2,007
Reaction score
1,898
RAIS wa malawi jana ametoa tamko mbele ya waandishi wa habari kuwa hana mpango kupigana vita na Tanzania lakini hata kama hatapigana, ziwa lote ni la malawi na Tanzania haina chake. serikali ya Tanzania inanyamaza tu kwa uchokozi huu unaofanywa na rais mpya wa malawi?
 
RAIS wa malawi jana ametoa tamko mbele ya waandishi wa habari kuwa hana mpango kupigana vita na Tanzania lakini hata kama hatapigana, ziwa lote ni la malawi na Tanzania haina chake. serikali ya Tanzania inanyamaza tu kwa uchokozi huu unaofanywa na rais mpya wa malawi?

Membe Huyu? Au Mwingine? Mwenzako Yupo Bize Kuwasaidia Ndugu Zake Wapalestina Wanauwawa Bila Hatia Na Majeshi Ya Israel. Ya Hapa Kwenu Mtajuana Wenyewe,
 
RAIS wa malawi jana
ametoa tamko mbele ya waandishi wa habari kuwa hana mpango kupigana vita
na Tanzania lakini hata kama hatapigana, ziwa lote ni la malawi na
Tanzania haina chake. serikali ya Tanzania inanyamaza tu kwa uchokozi
huu unaofanywa na rais mpya wa malawi?

wameanza tena?
 
RAIS wa malawi jana ametoa tamko mbele ya waandishi wa habari kuwa hana mpango kupigana vita na Tanzania lakini hata kama hatapigana, ziwa lote ni la malawi na Tanzania haina chake. serikali ya Tanzania inanyamaza tu kwa uchokozi huu unaofanywa na rais mpya wa malawi?

Kijana tuliza akili haya mambo siyo ya kukurukupa na kutoa matamko kama Kasuku. Huyo Rais kwanza amewadanganya wananchi wake maana alisema akiingia madarakani analitwaa ziwa lote sasa mbona kimya.
 
Kijana tuliza akili haya mambo siyo ya kukurukupa na kutoa matamko kama Kasuku. Huyo Rais kwanza amewadanganya wananchi wake maana alisema akiingia madarakani analitwaa ziwa lote sasa mbona kimya.

Ni kweli hiyo ilikuwa ni gear ya kuombea kura na sasa anajua linalomkabili watu wanakumbuka hivyo lazima aseme hivyo alivyosema ila ukweli anaujua kabisa
 
kila nchi ina taratibu zake si lazma tanzania itoe tamko kisa malawi katoa
 
Membe atoe tamko mara ngapi? Mbona tayari alishatoa tamko tena zaidi ya mara mbili kwa kukurupuka! Issue ya Malawi ni nzito sana na sio jambo la kukurupuka tena kwa kuwa kisheria Malawi wanaweza kutushinda ila kwa majadiliano Tanzania tunaweza kuambulia ka sehemu. Kivita haitabiriki kwa kuwa nchi yoyote isiyohusika na mgogoro huu inaweza ikajiingiza na kuisadia Malawi ama Tanzania then tunakuwa kama DRC. Lakini pia kama tamko hilo limetolewa na Rais wa Malawi, kiitifaki anapaswa Rais wa Tanzania kujibu na sio waziri.
 
cha msingi busara ndiyo kila kitu, na siyo kukurupuka na kutoa matamko.
 
RAIS wa malawi jana ametoa tamko mbele ya waandishi wa habari kuwa hana mpango kupigana vita na Tanzania lakini hata kama hatapigana, ziwa lote ni la malawi na Tanzania haina chake. serikali ya Tanzania inanyamaza tu kwa uchokozi huu unaofanywa na rais mpya wa malawi?

sio uchokozi rais wa malawi amesema ukweli tanzania haina kitu ziwa malawi. kusoma hujui hata kusomewa husikii??? NI ZIWA MALAWI. sio ziwa Tanzania. tanzania ina bahari ya hindi ina ziwa victoria ziwa tanganyika tumeyafanyia nini haya maziwa? mpaka tuhangaike na kaziwa kadogo au tunatafuta pa kupigiwa tena mana naona ya mtemi iddi amin tumeyasahau etiee?
kama inaona inaonewa tanzania basi iende mahakamani kufungua kesi na sio kutuonyesha mazoezi ya wanajeshi wenye njaa. mnataka kuwatisha kwa picha etiee.
 
Kulikoni kutoa matamko ni vema tukasubiri hatma ya usuluhishi wa kamati ya Chisano.
issue kama hizi ukinyamaza inaonekana umekubaliana na kilichosemwa, siku ukija kuibua watakushangaa mbona tulisema hivi wewe ukakubali na sasa unajifanya kuibuka tena?
 
Back
Top Bottom