Sishangai ya Membe, huyu jamaa haeleweki, wanaomwona wa maana ni wale ambao hawamjui, ana siasa maji taka ajabu.. ila vurugu za mtwara yeye ashiriki kwa faida ya nani?? Yeye wa Lindi, ya Mtwara yanamuhusu nin?? Kama Nyumba kuchomwa mbona ya Mkapa haijachomwa? au ndo tuseme naye anahusika na vurugu hizi.. sitashangaa kuwa ni Membe mwenyewe katengeneza habari hii kwa sababu zake za kisiasa, na mvi anahusika vip na ya Mtwara?? alikuwa wa kwanza kushauri serikali kuhusu kutoharakisha uchimbwaji wa gesi, au ndo vile mabaya yote ya Kikwete na serikali yake anabebeshwa EL ambaye amekuwa muhasirika mkuu wa utawala mbovu wa Kikwete toka ajiuzulu! tujifunze kuwajibika hasa kwa serikali na viongozi wake, mawaziri ndo washauri wa rais haya madudu ya MTWARA WA KULAUMIWA NI KIKWETE NA SERIKALI YAKE YOTE HASA BARAZA LA MAWAZIRI, TUACHE UNAFIKI NA CHUKI, ETI LOWASSA ANA MKONO KWENYE GASI KIVIP?? TUFIKIRII KWA VICHWA NA SI MAKALIO, NDIYO MAANA TUNAISHIA KUPUUZWA NA WANASIASA KWA SABABU YA WATU WENYE UPEO MTU WANAOSEMA KWA SAUTI KUBWA..