Membe: Niliponea chupuchupu

Membe: Niliponea chupuchupu

sio tu mnafiki bali uhakika nilionao ni kiongozi wa ushirikina nandi ya ccm na ndio tegemeo lake kubwa, na mara nyingi amekuwa akijisifia kuwa wakwake ni wakurithi na sio wa kununua na ndipo hapo viongozi wengine nandi ya ccm wamekuwa wakimuogopa kama ukoma hata maradhi ya anayetajwatajwa kuitaka ikulu kwa nguvu zote yanausiswa naye na kuna wakati alijigamba kuwa aatammalizia kila akibonyeza kitufe mzee ugonjwa wa kutetemeka unaaanza nasikia huwa wanafanya kumuomba asimmalizie. Na hiyo ndiyo ccm

Yaani hapo kwenye red, umenifanya nicheke kweli kweli!! Mzizi na nchi, nchi na mzizi!! du! Kazi ipo.
 
Sijui ni kitu gani kwa huyu baba sina ubaya nae wala sijatumwa honestly speaking anaonekana ni mnafiki sana hasa fake smile aliyonayo!!!!na misemo yake ndo kabsaaa....!!eti nasubiri kuoteshwa mmh???????:shut-mouth:

jk na tabasamu original mnamuona tatizo.huyu nae mwenye tabasamu fake naye tatizo..kha...!!
Tabasamu fake na mwanasiasa ni chanda na pete dadangu.
Na wala hapa hatutafuti mtu wa kusatisfy emotional zako au tuseme bwanaharusi.
Tunatafuta rais.
 
Back
Top Bottom