Baba Tunde
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 369
- 115
sio tu mnafiki bali uhakika nilionao ni kiongozi wa ushirikina nandi ya ccm na ndio tegemeo lake kubwa, na mara nyingi amekuwa akijisifia kuwa wakwake ni wakurithi na sio wa kununua na ndipo hapo viongozi wengine nandi ya ccm wamekuwa wakimuogopa kama ukoma hata maradhi ya anayetajwatajwa kuitaka ikulu kwa nguvu zote yanausiswa naye na kuna wakati alijigamba kuwa aatammalizia kila akibonyeza kitufe mzee ugonjwa wa kutetemeka unaaanza nasikia huwa wanafanya kumuomba asimmalizie. Na hiyo ndiyo ccm
Yaani hapo kwenye red, umenifanya nicheke kweli kweli!! Mzizi na nchi, nchi na mzizi!! du! Kazi ipo.