Libya
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 783
- 1,918
Mgombea Urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Bernad Membe amesema kuungana kwa vyama vya upinzani hakuwezi kukiondoa madarakani chama tawala
Ametoa mfano kuwa, fikiria kwamba wao wana kura milioni 6.5 ambazo si za CCM, wanawezaje kupora kura milioni 10 za CCM, hivyo amesema njia sahihi ni kukigawa chama
Amesema ili kukishinda chama tawala unapaswa kukipasua chama tawala. Amesema yeye alifanikiwa kukigawa CCM kwa kuwa alikuwa na wabunge 78 kwa sababu alishajipanga kumkabili Rais aliyekuwepo
Aidha amesema wapo watu ndani ya CCM ambao wameichoka CCM ambao pia wangeweza kuungana nae
Amyeasema hayo kwenye mahojiano DW Oktoba 19,
Ametoa mfano kuwa, fikiria kwamba wao wana kura milioni 6.5 ambazo si za CCM, wanawezaje kupora kura milioni 10 za CCM, hivyo amesema njia sahihi ni kukigawa chama
Amesema ili kukishinda chama tawala unapaswa kukipasua chama tawala. Amesema yeye alifanikiwa kukigawa CCM kwa kuwa alikuwa na wabunge 78 kwa sababu alishajipanga kumkabili Rais aliyekuwepo
Aidha amesema wapo watu ndani ya CCM ambao wameichoka CCM ambao pia wangeweza kuungana nae
Amyeasema hayo kwenye mahojiano DW Oktoba 19,