Awashitaki katika mahakama gani?Kwanini Mzee Membe asiwashitaki hao wanaochagua?
Awashitaki katika mahakama gani?Kwanini Mzee Membe asiwashitaki hao wanaochagua?
Kwani yeye amesema hawezi kutumia simu kwa sababu inadukuliwa?Wewe membe,
Wenye akili tunaweza kuona mlinganisho wa maneno uliyoyatumia jinsi yanavyoshabihiana na yaliyotumika kwenye mitandao yenu na hiyo kigogo.
Kauli ni hizo hizo,halafu jazba ni hiyo hiyo,povu ni hilohilo,so pls usituyumbishe wananchi.
Wewe yumbayumba mwenyewe.
Halafu kumbe ulijichimbia huko mwezi mzima ok......tunaweza kuunganisha doti.
Kauli yako kwamba huwezi kutumia simu kwa sababu inadukuliwa,je kwa ujasusi wako mbobezi unataka kutuaminisha watanzania kwamba huwezi sajili simu au kutumia laptop ya mmojawapo wa hao au huyo uliemuajiri kukujenga mtandaoni.
Hivi kuna mahali uliandikiwa kwamba lazima uwe rais wa nchi hii.
Huwezi kujipima tu na kuona kwamba upepo uliishabadili mkondo?
Mbona mzee lowassa pamoja na kuwepo makubaliano na uncle wako lakini mlishindwa kumtimizia ahadi mpaka mbowe akalamba mshiko na kumuacha mzee hoi?
Au una uchungu wa yale mabegi ya hela yaliopotea kwa kubambwa pale dodoma?
Ila pia namalizia kwa kujiuliza hivi waraka huu ni wa kwako membe kweli?
Na kama ni wa kwako nauona umejaa hasira na visasi kupindukia,kiasi kwamba kama ungeupata urais basi nikikumbuka na lile onyo ulilowahi kulitoa la *maadui zako watafute pa kukimbilia basi napata picha ya kuogofya sana.
Najua matusi ya wafuasi wako lakini wacha nitukanwe ila nimesema ya moyoni na ni haki yangu kikatiba.
Ahsante na ninasimama na ...
JPM 2020 =2025
Unateseka sana wakati ww mwenyewe ni ImmunodificiencyKumtetea mgonjwa hakuondoi ugonjwa wake. Toka jumapili mpaka leo hajaonekana fonti fedi ujue bado hajapona vizuri, muda ni mwalimu mzuri sana black and white zitajulikana tu. Kwanza kuugua siyo dhambi au huyo Jiwe wenu huwa haugui?Kwahiyo mnataka kutuaminisha malaika mkuu Jiwe huwa haugui siyo?
Magazeti ya cyprian Musiba hayana wanunuzi hakuna Mtanzania mwenye busara na hekima ataenda kukununia gazeti hizo za kufungia mandazi
[/QUOTE baba yako jana na watoto wako waliyanunua
Magazeti ya cyprian Musiba hayana wanunuzi hakuna Mtanzania mwenye busara na hekima ataenda kukununia gazeti hizo za kufungia mandazi
[/QUOTE baba yako jana na watoto wako waliyanunua
Your missed toto la kitanga!!Musiba ni taahira mwenye taahira ya akili na mtindio wa ubongo, nakumbuka kulikuwa na mfululizo wa makala kwenye magazeti yake akimtuhumu Maxence Melo na JamiiForums wanataka kumuua.
Lakini wanakosea upande, mmoja ambao wanachia wabwekaji kitaifa , kuendelea kuwaacha... Kama Membe, angeamua kukaa kimya dhidi ya shutuma, naye angekuwa sawa na serikali walioamua kukaa kimya na kuaacha damage iendelee..Sikubaliani na Membe.
Ilichokifanya serikali nadhani ndicho kilikuwa sahihi.
Kwamba, tetesi za kijuha na kipumbavu, ni vyema kuzipuuza kwa maneno lakini pia kuzijibu kwa vitendo ndani ya muda mzuri.
Rais kujitokeza na kuendelea kufanya kazi zake, lilikuwa ni jibu murua kabisa kwa majuha wote walioshiriki kutunga na kueneza uzushi wao.
Hivyo ndivyo inavyotakiwa.
Msemaji wa serikali akianza kujibu kila aina ya uzushi, kufanya hivyo ni kuubariki na kuuhalalisha uzushi huo. Serikali itafanya hivyo kwa mangapi? Maana uzushi na uongo ni sehemu kubwa sana ya hii mitandao ya kueneza na kujazana ujinga.
Safi sana serikali. Safari hii mmetenda vyema.
Hii sio ndio terrorism yenyewe, ama?Musiba anasema ana watu milioni tatu nyuma yake ambao watachukua hatua dhidi ya aliowataja kwenye orodha yake kama Waziri wa Mambo ya ndani hatatii maagizo yake ya kuwachukulia hatua.
Sijui makosa ya aliowaoredhesha lakini kusema ana watu milioni tatu nyuma yake ambao wanaweza kuchukua hatua za kuwashughulikia watu anaowatuhumu kama serikali haitafanya hivyo, hiyo ni zaidi ya uanaharakati it is tantamount to treason. Watu milioni tatu si wachache kama wakitii amri ya mtu mmoja kinyume na mamlaka.
Exposure kakaa sana nje,pia kwa kazi ya ujasusi ni lzm uwe forward huwezi kuwa primitive.Yule si amezaliwa huko Lindi vijijini,huo u-born town kaupatia wapi?
Sasa na u-forward wake+ujasusi wake ikawaje mtu aliyetoka huko Chato wala hata huko nje haendagi akamshinda/akapeperusha bendera ya chama kwny urais?Exposure kakaa sana nje,pia kwa kazi ya ujasusi ni lzm uwe forward huwezi kuwa primitive.
Mchange na Zitto wamekula sana hela ya Nssf awamu ya 4!Mbwa ukimjua jina ni raha sana ! Yaani Mchange anajipigia tu kibwege hela za awamu ya 5 , hela inatafunwa kirahisi sana kwa mambo ya kutungwa tu !
ile si mlisema ilikuwa awamu ya kutumbua , ajabu ni hii awamu ambayo inaitwa iko makini , lakini mbona watu duni kama huyu Mchange na Musiba wanajipigia tu hela za umma ?Mchange na Zitto wamekula sana hela ya Nssf awamu ya 4!
IPO tofauti ya kujisukumiza na kusukumizwa elewa tofauti kwanzaSasa na u-forward wake+ujasusi wake ikawaje mtu aliyetoka huko Chato wala hata huko nje haendagi akamshinda/akapeperusha bendera ya chama kwny urais?
Ongezea na kutembea na majina ya wagombea kwny mfuko wa shati.IPO tofauti ya kujisukumiza na kusukumizwa elewa tofauti kwanza
Mchange anatembelea bodaboda.......ndio anapiga hela huyo?!ile si mlisema ilikuwa awamu ya kutumbua , ajabu ni hii awamu ambayo inaitwa iko makini , lakini mbona watu duni kama huyu Mchange na Musiba wanajipigia tu hela za umma ?