Membe: Musiba na Mchange anayewatuma kunichafua kwanini hamnipeleki mahakamani? Kama mnaweza kunirekodi mmeshindwa nini kutoa huo ushahidi

Wewe membe,
Wenye akili tunaweza kuona mlinganisho wa maneno uliyoyatumia jinsi yanavyoshabihiana na yaliyotumika kwenye mitandao yenu na hiyo kigogo.

Kauli ni hizo hizo,halafu jazba ni hiyo hiyo,povu ni hilohilo,so pls usituyumbishe wananchi.
Wewe yumbayumba mwenyewe.

Halafu kumbe ulijichimbia huko mwezi mzima ok......tunaweza kuunganisha doti.

Kauli yako kwamba huwezi kutumia simu kwa sababu inadukuliwa,je kwa ujasusi wako mbobezi unataka kutuaminisha watanzania kwamba huwezi sajili simu au kutumia laptop ya mmojawapo wa hao au huyo uliemuajiri kukujenga mtandaoni.

Hivi kuna mahali uliandikiwa kwamba lazima uwe rais wa nchi hii.
Huwezi kujipima tu na kuona kwamba upepo uliishabadili mkondo?

Mbona mzee lowassa pamoja na kuwepo makubaliano na uncle wako lakini mlishindwa kumtimizia ahadi mpaka mbowe akalamba mshiko na kumuacha mzee hoi?

Au una uchungu wa yale mabegi ya hela yaliopotea kwa kubambwa pale dodoma?

Ila pia namalizia kwa kujiuliza hivi waraka huu ni wa kwako membe kweli?

Na kama ni wa kwako nauona umejaa hasira na visasi kupindukia,kiasi kwamba kama ungeupata urais basi nikikumbuka na lile onyo ulilowahi kulitoa la *maadui zako watafute pa kukimbilia basi napata picha ya kuogofya sana.
Najua matusi ya wafuasi wako lakini wacha nitukanwe ila nimesema ya moyoni na ni haki yangu kikatiba.
Ahsante na ninasimama na ...
JPM 2020 =2025
Kwani yeye amesema hawezi kutumia simu kwa sababu inadukuliwa?
 
Kumtetea mgonjwa hakuondoi ugonjwa wake. Toka jumapili mpaka leo hajaonekana fonti fedi ujue bado hajapona vizuri, muda ni mwalimu mzuri sana black and white zitajulikana tu. Kwanza kuugua siyo dhambi au huyo Jiwe wenu huwa haugui?Kwahiyo mnataka kutuaminisha malaika mkuu Jiwe huwa haugui siyo?
Unateseka sana wakati ww mwenyewe ni Immunodificiency
 
Hahahaaa! Walimpa wao kichaa rungu. Sasa naona hawana mbinu madhubuti ya kumdhibiti kichaa zaidi ya kutumia mbinu ileile tunayoitumia Watanzania wengi ya kulialia tu kupitia keyboard. Bongo "raha sana".
 
Sikubaliani na Membe.

Ilichokifanya serikali nadhani ndicho kilikuwa sahihi.

Kwamba, tetesi za kijuha na kipumbavu, ni vyema kuzipuuza kwa maneno lakini pia kuzijibu kwa vitendo ndani ya muda mzuri.

Rais kujitokeza na kuendelea kufanya kazi zake, lilikuwa ni jibu murua kabisa kwa majuha wote walioshiriki kutunga na kueneza uzushi wao.

Hivyo ndivyo inavyotakiwa.

Msemaji wa serikali akianza kujibu kila aina ya uzushi, kufanya hivyo ni kuubariki na kuuhalalisha uzushi huo. Serikali itafanya hivyo kwa mangapi? Maana uzushi na uongo ni sehemu kubwa sana ya hii mitandao ya kueneza na kujazana ujinga.

Safi sana serikali. Safari hii mmetenda vyema.
Lakini wanakosea upande, mmoja ambao wanachia wabwekaji kitaifa , kuendelea kuwaacha... Kama Membe, angeamua kukaa kimya dhidi ya shutuma, naye angekuwa sawa na serikali walioamua kukaa kimya na kuaacha damage iendelee..
 
Musiba anasema ana watu milioni tatu nyuma yake ambao watachukua hatua dhidi ya aliowataja kwenye orodha yake kama Waziri wa Mambo ya ndani hatatii maagizo yake ya kuwachukulia hatua.

Sijui makosa ya aliowaoredhesha lakini kusema ana watu milioni tatu nyuma yake ambao wanaweza kuchukua hatua za kuwashughulikia watu anaowatuhumu kama serikali haitafanya hivyo, hiyo ni zaidi ya uanaharakati it is tantamount to treason. Watu milioni tatu si wachache kama wakitii amri ya mtu mmoja kinyume na mamlaka.
Hii sio ndio terrorism yenyewe, ama?

Au ndio vigillantes?

Si uasi unaanza hivi?
 
Nasikia musiba anataka kugombea ubunge,wana hasara watakaomchagua huyo tink tank
 
Mbwa ukimjua jina ni raha sana ! Yaani Mchange anajipigia tu kibwege hela za awamu ya 5 , hela inatafunwa kirahisi sana kwa mambo ya kutungwa tu !
 
Exposure kakaa sana nje,pia kwa kazi ya ujasusi ni lzm uwe forward huwezi kuwa primitive.
Sasa na u-forward wake+ujasusi wake ikawaje mtu aliyetoka huko Chato wala hata huko nje haendagi akamshinda/akapeperusha bendera ya chama kwny urais?
 
Sasa na u-forward wake+ujasusi wake ikawaje mtu aliyetoka huko Chato wala hata huko nje haendagi akamshinda/akapeperusha bendera ya chama kwny urais?
IPO tofauti ya kujisukumiza na kusukumizwa elewa tofauti kwanza
 
Back
Top Bottom